Tunasimama na Rais Magufuli

Tunasimama na Rais Magufuli

Magu anapiga kazi sana, wapo ambao hawataki kuelewa lakini huo ndio ukweli.. Ana mapungufu yake lakini tumvumilie tu, Ingekua mapungufu yake ni makubwa kuliko uchapakazi wake hapo ingekua Tatizo lakini Raisi wetu anapiga kazi Usiku na Mchana na Kiufupi hakuna Taifa lililoendelea bila ya wananchi wao kupitia kwenye maisha magumu.. Ukiona mambo yanazidi kua magumu ujue Neema inakaribia
 
*RAIS MAGUFULI ANATUPELEKA WAPI?*

1. Anatutoa kwenye usafiri wa treni wa enzi za kikoloni unaotumia muda mrefu njiani anatupeleka kwenye usafiri wa treni wa kisasa unaotumia umeme na muda mchache njiani kusafirisha Watu wengi na mizigo mingi.

2. Anatutoa kwenye usafiri wa anga wa ndege uliokufa anatupeleka kwenye ufufuo wa shirika la ndege lenye ndege mpya sita.

3. Ametutoa kwenye shirika la simu lililokufa ametupeleka kwenye ufufuo wa shirika la simu linaloleta ushindani mkubwa kwenye makampuni ya simu yaliyokuwapo kutokana na ubora wa huduma na wa gharama nafuu.

4. Ametutoa kwenye uchumi uliokuwa asilimia 5.1 mwaka 2015 mpaka kutupeleka kwenye uchumi unaokuwa wa zaidi ya asilimia 7.2

5. Ametutoa kwenye mzigo wa kulipia elimu mpaka kutupeleka kwenye unafuu wa elimu bure kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari.

6. Amewatoa akina Mama Wajawazito kwenye mateso ya kujifungulia sakafuni ametupeleka kwenye faraja kwa akina Mama Wajawazito kujifungulia vitandani. Mjamzito mmoja, kitanda kimoja.

7. Ametutoa kwenye mateso ya kulanguliwa dawa na ukosefu wa dawa kwenye hospitali za Serikali ametupeleka kwenye upatikanaji wa madawa mahospitalini uliofikia kiwango cha upatikanaji cha asilimia 89, tena kwa bei nafuu.

8. Ametutoa kwenye usumbufu na mateso kwa Wamachinga na Mama Ntilie kusumbuliwa na Wagambo mpaka kutupeleka kwenye utulivu na amani ya kutosumbuliwa kwa Wamachinga na Mama Ntilie.

9. Ametutoa kwenye mfumo wa kuleana na kuchekeana dhidi ya wabadhilifu na wala rushwa na kutupeleka kwenye mfumo wa uwajibikaji wa kupelekwa mahakamani kwa wala rushwa na Mafisadi. Leo hii Tanzania imepanda kwa nafasi kwa nafasi 13 katika mwaka 2016 na mwaka 2017 na pia ikishika nafasi ya pili kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

10. Ametutoa kwenye mateso ya Wanafunzi kukaa chini kwa kukosa madawati na kukosa maabara. Leo hii ametupeleka kwenye hatua ya ukamilifu wa uondoshaji wa tatizo la madawati nchi nzima na maabara kwa baadhi ya shule.

11. Anatutoa kwenye uondoshaji wa tatizo la foleni jijini Dar na kutupeleka kwenye ujenzi wa barabara za juu (flyovers) za Tazara na Ubungo.

12. Amewatoa Wanazuoni wa chuo kikuu cha UDSM kwenye mateso ya kupanga na leo hii amewapeleka kwenye makazi bora ya mabweni ya kisasa wanayolipia gharama za chini kabisa.

13. Ametutoa kwenye balaa la utendaji na uwajibikaji wa hovyo kwa Watumishi wa umma na ametupeleka kwenye uimarishwaji wa kiwango cha kuridhisha cha uwajibikaji na uadilifu kwa Watumishi wa umma.

14. Ametutoa kwenye utitiri wa kodi kwenye kilimo na kutupeleka kwenye ufutwaji wa kodi mbalimbali za kilimo na kukifanya kuwa chenye tija kwa Wakulima. Leo hii bei ya korosho imepanda kutoka Tsh. 800 kwa kilo mpaka kufikia Tsh. 4000 kwa kilo.

15. Ametutoa kwenye usiri mkubwa wa mikataba na taarifa za madini na kutupeleka kwenye uwazi taarifa na mikataba ya madini. Leo hii tunajivunia mafanikio ya gawio sawia la faida za madini na Serikali ikimiliki asilimia 16 ya hisa katika makampuni ya uchimbaji wa madini.

16. Ametutoa kwenye tatizo zito na sugu la ajira na kutupeleka kwenye ongezeko la fursa za ajira kupitia kwenye viwanda zaidi ya 3000, kuwatimua wenye vyeti vyeki, miradi ya ujenzi ya bomba la mafuta, flyovers na reli ya kisasa ya standard gauge.

17. Ametutoa kwenye makusanyo ya Tsh. Bilioni 800 kwa mwezi mpaka kufikia kwenye makusanyo ya Tsh. Trilioni 1.5 kwa mwezi. Hali hiyo imeimarisha uwezo wa Serikali kibajeti.

18. Ametutoa kwenye urasimu na umangimeza kwa viongozi na kutupeleka kwenye uimarishwaji wa kiwango cha nidhamu, uwajibikaji na uadilifu kwa viongozi wa Serikali. Leo hii hakuna usumbufu kumuona kiongozi na viongozi wengi wapo site palipo shida za Wananchi wakizitatua.

19. Ametutoa kwenye mfumo wa walio nacho kujiona Mungu mtu na kuleta ukandamizi ndani ya jamii na kutupelekea kwenye uondoaji wa tabaka la uonevu kwenye masuala ya ardhi na sheria.

20. Ametutoa kwenye mkwamo wa Serikali kuhama Dar es Salaam na kutupeleka kwenye hamisho la Serikali kuhamia Dodoma. Mpaka sasa Waziri Mkuu, Wizara na idara mbalimbali zimehamia Dodoma. Tukumbuke mpango wa Serikali kuhamia Dodoma ulikuwepo na kushindikana kufanyika toka enzi za utawala wa Serikali ya awamu ya kwanza.

Hayo ni baadhi tu, sisi Wananchi wa Tabaka la chini tunaelewa Rais Magufuli alipotutoa na anapotupeleka.

*Tunasimama na Rais Magufuli*

*Na Emmanuel J. Shilatu*
Sawa tumekuelewa kama sio kukuelewa.
 
*RAIS MAGUFULI ANATUPELEKA WAPI?*

1. Anatutoa kwenye usafiri wa treni wa enzi za kikoloni unaotumia muda mrefu njiani anatupeleka kwenye usafiri wa treni wa kisasa unaotumia umeme na muda mchache njiani kusafirisha Watu wengi na mizigo mingi.

2. Anatutoa kwenye usafiri wa anga wa ndege uliokufa anatupeleka kwenye ufufuo wa shirika la ndege lenye ndege mpya sita.

3. Ametutoa kwenye shirika la simu lililokufa ametupeleka kwenye ufufuo wa shirika la simu linaloleta ushindani mkubwa kwenye makampuni ya simu yaliyokuwapo kutokana na ubora wa huduma na wa gharama nafuu.

4. Ametutoa kwenye uchumi uliokuwa asilimia 5.1 mwaka 2015 mpaka kutupeleka kwenye uchumi unaokuwa wa zaidi ya asilimia 7.2

5. Ametutoa kwenye mzigo wa kulipia elimu mpaka kutupeleka kwenye unafuu wa elimu bure kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari.

6. Amewatoa akina Mama Wajawazito kwenye mateso ya kujifungulia sakafuni ametupeleka kwenye faraja kwa akina Mama Wajawazito kujifungulia vitandani. Mjamzito mmoja, kitanda kimoja.

7. Ametutoa kwenye mateso ya kulanguliwa dawa na ukosefu wa dawa kwenye hospitali za Serikali ametupeleka kwenye upatikanaji wa madawa mahospitalini uliofikia kiwango cha upatikanaji cha asilimia 89, tena kwa bei nafuu.

8. Ametutoa kwenye usumbufu na mateso kwa Wamachinga na Mama Ntilie kusumbuliwa na Wagambo mpaka kutupeleka kwenye utulivu na amani ya kutosumbuliwa kwa Wamachinga na Mama Ntilie.

9. Ametutoa kwenye mfumo wa kuleana na kuchekeana dhidi ya wabadhilifu na wala rushwa na kutupeleka kwenye mfumo wa uwajibikaji wa kupelekwa mahakamani kwa wala rushwa na Mafisadi. Leo hii Tanzania imepanda kwa nafasi kwa nafasi 13 katika mwaka 2016 na mwaka 2017 na pia ikishika nafasi ya pili kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.

10. Ametutoa kwenye mateso ya Wanafunzi kukaa chini kwa kukosa madawati na kukosa maabara. Leo hii ametupeleka kwenye hatua ya ukamilifu wa uondoshaji wa tatizo la madawati nchi nzima na maabara kwa baadhi ya shule.

11. Anatutoa kwenye uondoshaji wa tatizo la foleni jijini Dar na kutupeleka kwenye ujenzi wa barabara za juu (flyovers) za Tazara na Ubungo.

12. Amewatoa Wanazuoni wa chuo kikuu cha UDSM kwenye mateso ya kupanga na leo hii amewapeleka kwenye makazi bora ya mabweni ya kisasa wanayolipia gharama za chini kabisa.

13. Ametutoa kwenye balaa la utendaji na uwajibikaji wa hovyo kwa Watumishi wa umma na ametupeleka kwenye uimarishwaji wa kiwango cha kuridhisha cha uwajibikaji na uadilifu kwa Watumishi wa umma.

14. Ametutoa kwenye utitiri wa kodi kwenye kilimo na kutupeleka kwenye ufutwaji wa kodi mbalimbali za kilimo na kukifanya kuwa chenye tija kwa Wakulima. Leo hii bei ya korosho imepanda kutoka Tsh. 800 kwa kilo mpaka kufikia Tsh. 4000 kwa kilo.

15. Ametutoa kwenye usiri mkubwa wa mikataba na taarifa za madini na kutupeleka kwenye uwazi taarifa na mikataba ya madini. Leo hii tunajivunia mafanikio ya gawio sawia la faida za madini na Serikali ikimiliki asilimia 16 ya hisa katika makampuni ya uchimbaji wa madini.

16. Ametutoa kwenye tatizo zito na sugu la ajira na kutupeleka kwenye ongezeko la fursa za ajira kupitia kwenye viwanda zaidi ya 3000, kuwatimua wenye vyeti vyeki, miradi ya ujenzi ya bomba la mafuta, flyovers na reli ya kisasa ya standard gauge.

17. Ametutoa kwenye makusanyo ya Tsh. Bilioni 800 kwa mwezi mpaka kufikia kwenye makusanyo ya Tsh. Trilioni 1.5 kwa mwezi. Hali hiyo imeimarisha uwezo wa Serikali kibajeti.

18. Ametutoa kwenye urasimu na umangimeza kwa viongozi na kutupeleka kwenye uimarishwaji wa kiwango cha nidhamu, uwajibikaji na uadilifu kwa viongozi wa Serikali. Leo hii hakuna usumbufu kumuona kiongozi na viongozi wengi wapo site palipo shida za Wananchi wakizitatua.

19. Ametutoa kwenye mfumo wa walio nacho kujiona Mungu mtu na kuleta ukandamizi ndani ya jamii na kutupelekea kwenye uondoaji wa tabaka la uonevu kwenye masuala ya ardhi na sheria.

20. Ametutoa kwenye mkwamo wa Serikali kuhama Dar es Salaam na kutupeleka kwenye hamisho la Serikali kuhamia Dodoma. Mpaka sasa Waziri Mkuu, Wizara na idara mbalimbali zimehamia Dodoma. Tukumbuke mpango wa Serikali kuhamia Dodoma ulikuwepo na kushindikana kufanyika toka enzi za utawala wa Serikali ya awamu ya kwanza.

Hayo ni baadhi tu, sisi Wananchi wa Tabaka la chini tunaelewa Rais Magufuli alipotutoa na anapotupeleka.

*Tunasimama na Rais Magufuli*

*Na Emmanuel J. Shilatu*


Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli

DAR ES SALAAM, East Africa:

By Dr. Herman Louise Verhofstadt*


“A BIT like President Donald Trump, Tanzania’s president, John Magufuli, likes to fire employees on television. In November Mr. Magufuli used a live broadcast from a small town in the north of the country summarily to dismiss two officials,” this is an extract from a recent online article I came across from the newspaper that I admired when I was growing up in Europe back in 1990’s; the Economist.


Before I venture into other serious issues, the excerpts above contains gross factual errors; my own fact-check indicates that in the named public rally during the opening of Kagera Airport, there was no summary dismissal of the two officials instantly on television, as alleged. Instead, the two, one District Executive Directors for Bukoba Urban and another for Rural were relieved their duties later through a press release from President’s Office.

This is my prima impressio reading the Economist this week, a publication known for its top notch ethical and analytical standards, that has now vanished into a hell of sensational journalism, half baked facts, lack of objectivity and a clear sense of bias.

Contrary to the fact deprived article, it is my candid observation that to objectively critique Magufuli’s presidency in the circumstances of the transformation he is doing for his people in Tanzania, requires the level of conscious that is unfortunately lacking in the current editorial team at the Economist.

Living in Tanzania for close to half a decade now, it makes me a better eye-witness than the Westminster based editorial team. To say the least, this man Magufuli rose into power in a country that was downed by massive corruption scandals, political demonstrations that caused deaths and worse enough he found media fraternity that was being corrupted to work for interest groups.

In my stay here before and after his presidency, I have witnessed real transformation, his work is exemplary and fascinating one. Everybody here—may be just like what Theresa May is doing in London and what Trump is focusing in Washington, is aware that Tanzania is on the move towards pro-people development; something the Economist is unhappy for and would frame it with usual western biases; suppression of democracy, violation of press rights etc etc!

Under Magufuli’s “rogueness” I have seen leaders going into prison or dismissed for lack of action in protecting public funds, I’m seeing public service regaining its lost fame and massive social projects being implemented across the country-sadly the Economist would reduce all these far-fetching achievements to nothing but “rogueness.”

Magufuli's diplomatic acumen cannot be underestimated; He meets Israel Defense Minister in Dar es Salaam


As a European social-worker who had a rare opportunity to experience the real lives of the people in downtown Tanzanian cities and villages, I may not be best placed to analyze all of the Economist’s wrong facts about Tanzania, but for the sake of truth-an important cardinal principle in social as well as medical science, I co-own the truth of some of the major reforms on the ground and this is my scent on some of the issues raised:

“Magufuli’s impossible tax demands”

Looking at this allegation, in the Economist team, there seems to exist a general knowledge gap. Various reports from World Bank, IMF and other international institutions and pro-development authors have pointed to how Africa is grabbed of its mineral reserves. One author, in this regard, went far to coin the term: “development without development.”

What Magufuli is doing, is to come up with policies and leadership approaches to rescind the situation in Tanzania. Acacia, who seems to enjoy warm protection from the Economist story, after prolonged discussions and confronted with impeccable evidence on their wrong doings, bowed down to negotiate and reached a better “21stCentury” deal. Why is the Economist so pained by this? Now many countries in Africa are coming up with such huge bills.

How can the once pro development Economist be unhappy with a young and poor nation striving and trying to reap what is due for its people? If Acacia/Barrick settled to pay, albeit part of the claim, then what is impossible tax demand mean?

“Pregnant girls to be kicked out of school”

Upon reading some of the excerpts, I wished I could sponsor editors of the Economist to come to Africa and learn the practical lessons before writing sensational half-truths. Seems no one ever knows that one of the critical social issues in the Continent is early marriages and pre-mature pregnancies.

To see a leader confronting these issues with a view to encourage parents and students to work together to prevent early pregnancies is something to loud the government of Tanzania. I wonder, a western media trying to challenge these efforts to impose its own persona on a different culture, what do we want to achieve?

In my childhood I studied around Elephant and Castle in the UK; at one time we heard about 20,000 under 18’s went pregnant in a year, later on, few secured a chance to return to school. In Tanzania, and some other African countries, the number could go by far beyond UK in a year.

With such stats, you don’t need a civilized western media to teach you what to do than support stern measures by the “Rogue President,” well intended to protect young girls from engaging into sexual life before the coming of age to enjoy their right to education.

“Locked immoral musicians who criticize him”

This is a fact that the Economist may need to prove to its esteemed audiences. I’m not a keen music fan, but I’m able to comprehend events in Tanzania and never heard of a musician who was “locked up” for criticizing Magufuli.

Like any other country, Tanzania is grappling with issues of morals and ethics in its society. Use of obscene language and pornography are some of the immoral that irks many music lovers in this part of the world. Government has taken steps to ban some from TV and redio airings. This is standard. Its everywhere.

"Democracy and political rallies”

Like in music, I may also not be better placed to justify or condemn the banning of political rallies but just to share with my fellows in the Economist; I once had to quit my social work in Arusha, the Northern tourist city, due to insecurity when opposition parties were allowed to conduct prolonged demos.

It is their civil rights which I have no doubt about it-but shops were being closed, businesses deteriorated and tourism suffered, as dozens of people lost lives in the ensuing violence and incidents of planted bombs.

I have never been back to Arusha since then, but listening to stories of how the once lost glory is back to the city after controlled political rallies, makes me thrilled to read somebody from London crying advocating for more political demonstrations!

“Economy is Grinding”

A mesmerizing phrase in the Economist’s article about Tanzania goes: “Rather than being freed from corruption, the economy is grinding to a halt under the weight of arbitrary tax demands.”

Reading the phrase it would cling to one’s mind that someone authoring the article is vividly a bonafide member of the pool of victims of Magufuli’s justifiable crusade on mineral resources. How can, serious a journalist, make such analogy; arbitrary tax demands and dwindling economy?”

His negotiation skills: Agreed a deal to settle Acacia's huge tax bill by meeting top Barrick bosses who own Acacia Tanzania. Barrick will reimburse Tanzania and reform ownership of Acacia.
Yes, in Tanzania, I have heard stories of some businesses closing down due to new tax systems, still high bank interest rates as well as dwindling foreign exports. On the other hand, there are good stories too; ranging from how the country has scored high in monthly revenue collection, the Investment Center is recording huge number of new foreign investors, Africa’s wealthiest man Dangote’s cement plant is already launched and hundreds of new industries are blossoming up and the economy is steadfastly above 6 percent for the last 10 years.

Be aware: Magufuli's focus on infrastructure is unique, he has just inaugurated construction of a multi-billion Dollar modern standard gauge railway, thanks to improved own internal revenue sources.

The new Standard Gauge Rail construction is on as the country further embarks into a 2,100 megawatts historic power project along the Rufiji River Basin—of course I’m opposed to the latter on environmental consideration but I do realize the vision of the President and stand with the people of Tanzania.


It needs courage-but above all vendetta backed type of journalism to be bold enough to undermine and under write positive transformations happening in Tanzania under Mr. Magufuli in support and in favour of isolated incidents which are peculiar to the nature of politics in Tanzania and other neighbouring geo-politics.

*The author is a Belgian health expert working with an international NGO in EAC countries who is currently ending his tenure in Tanzania. He has worked with poor communities for four years now.


Mfano sijaona magazeti ya nje yanapo-acknowledge uthubutu wa JPM kujenga reli, na miradi mingine mikubwa! Hata re-negotiations za mikataba ya madini...I mean siyo kwamba JPM hana mabaya..Lakini na mazuri yake yasemwe! Tumkome nyani giladi!

Next time mkiona gazeti la kimataifa liwe the economist, Bloomberg nk wameandika habari negative kuhusu nchi/serikali yetu..inabidi wahusika waingie front kujibu kwa kuweka records straight. siyo kukimbilia JF na kuanza kulialia kwamba JPM anachukiwa na haya magazeti/jarida. Dunia haina huruma na yeyote.
 
Ametutoa kutoka elimu ya malipo kwenda elimu bure lakini bila ubora wa miundo mbinu huko mashuleni,

Pia ametutoa kwenye mbaazi kilo9000 hadi 300

Ametutoa kwenye gunia La mahindi gunia 100000 hadi sh 20000

Kweli tutanyooka nae
 
Back
Top Bottom