Moja ya Vitu ambavyo mjadala huu umekosa ni mguso wa kitaaluma. Tunakubaliana na hoja kwamba posho ni eneo la kawaida kabisa katika mfumo wowote makini wa maslahi na malipo. Hoja haipo kwenye uwepo au kutokuwepo kwa posho bali mantiki na msingi wake.
Kigezo cha kwanza cha kuweza kuendesha...
Huu ni uchambuzi dhaifu ukiwa umejikita katika siasa za kukariri na mazoea. Kwa kutojua au kwa nia mbaya muandishi anajaribu kutumiaminisha katika ukubwa wa mtandao(mabolizi wa nyumba kumi) na uchaguzi wa serekali za mitaa kama nguzo yake ya uchambuzi.
Tayari kwa mfumo wa sasa tumeona idadi...
Ndugu mkandara, nakumbuka tuliyazungumza haya kwa kirefu sana wakatu ule wa mjadala wa majimbo.Tulitabiri kwamba baada ya miaka kumi ijayo tutakuwa na mikoa karibia hamsini na wilaya zaidi ya miatatu kwa kigezo cha kusogeza maendeleo kwa wananchi. Itafikia wakati ambapo wataweka kwenye ilani yao...
Wengi wamepongeza baadhi kuhoji na kubeza uamuzi wa Zitto kugombea. Na badae wamebeza uamuzi wa Zitto kujitoa sambamba na kushangazwa na ushauri wa kamati ya wazee waliomshauri Zitto ajitoe katika kinyanganyiro cha uenyekiti wa taifa dhidi ya mwenyekiti wa sasa Freeman Aikael Mbowe( Mtuhuru)...
Sipo pamoja na Zito katika hili! Anakosea mno. Hatuwezi kuhalalisha uhuni kwa kisingizo cha dharura. Tunajenga msingi mbaya wa kutofuata taratibu kwa kisingizio cha maslahi ya taifa na unafuu!
Huu unafuu unazungumziwa sasa ni baada ya kulinganisha na mitambo ipi, gharama zipi? Sula la...
Tumefika pabaya. Siku zote huwa naamini ushirikiano wa vyama si suluhisho. Kila mmoja ni msindani kwa kwa mwenzake, dhana ya kuwataka waungane ndio huleta matatizo kama haya.
Nimeshuhudia mkutano mmoja wa operesheni sangara pale Manzese ambapo mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe alikuwa...
Kama mwenyekiti wa chama anapaswa kuchukua hatua badala ya kuzira.Kama atawaidhiria na jamaa wa EPA na Richmond kwamba wagawane wenyewe hali itakuwa mbaya sana.
Hata Ole Sendeka? Sasa watabaki na nini?
Hii dhana ya watu kumiliki majimbo ni moja ya kansa mbaya sana. Kama taifa tungali tunajifunza siasa za ushindani.Ni utaraibu ambao tunachukua mda mrefu sana kuuzoea.
Kama huwa ana hasira hizo nashangaa mpaka leo hajatwanga mtu bungeni, akiweza...
Huu ni upotoshaji uliovuka mipaka! Hakukuwa na ushirikiano mwaka 2005 kisha CHADEMA ikajitoa! Kulikuwa na majadiliano ila waliokuwa wanajiona chama kikubwa walikuwa ni CUF amabao walikuwa wanataka waachiwe kila kitu!
Lazima ikumbukwe kuwa mwaka 95 CHADEMA haikusimamisha mgombea wa Uraisi ili...
Gembe unapaswa kuwa juu ya haya unayoyaandika hapa! Zilie ni Hitilafu za kawaida kwenye taasisi za kibinadamu. Mgogoro wa marehemu Wangwe ulikuzwa na watu wenye hofu na nia mbaya dhidi ya CHADEMA.
marehemu Wangwe alikuwa peke yake akishambulia viongozi wenzanke, tungeweza kuita mgogoro...
Ndugu yangu Recta:
1. Chama kinasubiri kushika uongozi kina jukumu la kuiwajibisha serekali hasa mda ule kinapokuwa hamna uchaguzi.Ndio maana Bungeni tuna mawaziri kivuli.Vyama lazima vitoe mbadala na kuwa "watchdogs"
2. Wakati ambapo hakuna uchaguzi nguvu ya chama inajionyesha katika namna...
FMES, heshima kwako.
Ni kweli taifa linadidimia,na tuko hapa kutokana kuwa na taasisi dhaifu za kisiasa, zilizokosa uwezo wa kutambua na kuyapa ufumbuzi haya maswala mchomo.
Tunaweza kujadili maswala mazito kile siku lakini kama taasisi zetu za kisiasa hazina uwezo au nia ya kupokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.