Regia Mtema
R I P
- Nov 21, 2009
- 2,970
- 863
Katika hotuba ya Desemba 30 Bungeni Dodoma (nakala ya Kiingereza: SPEECH BY THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, HIS EXCELLENCY JAKAYA MRISHO KIKWETE, ON INAUGURATING THE FOURTH PHASE PARLIAMENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, PARLIAMENT BUILDINGS, DODOMA, 30 DECEMBER 2005),JK hakutangaza kuwa Mikoa na Wilaya kuongezeka.
Toka hapo bajeti ya kila mwaka haikutangazwa kuwa Mikoa na Wilaya kuongezeka!
Sasa haya yametoka wapi?
Kwani yaliyofanyika yote kwa kipindi chote cha miaka minne aliyazungumza alipohutubia Bunge Dec 30?