Duuh. ..ndo ya Mkataba imekaa kihuni sana kwa kuangalia tamaduni zetu. Sina hakika, lakini nadhani Sheria zetu haziruhusu coz sheria zetu kwa kiasi kikubwa zinaakisi tamaduni.
Siku hizi tunaona mbwembwe za kila aina zinazofanywa na watu wanaomiliki redio.
Wiki chache zilizopita, tulisikia kwamba watangazaji wawili kutoka Clouds Fm wamehamia EFM.
Kuanzia wiki iliyopita tunaona East Africa Redio wakigawa mafuta kwa madereva bodaboda kupitia mtu wao anaitwa Kachero...
Katika kipindi hiki kuna wengi wataumizwa kwa kashfa na propaganda zinazochochewa na visasi na chuki. Mungu amjalie Rais wetu na vyombo vyote vya dola Hekma katika kufanya maamuzi.
Mimi naamini Bwana Lugumi atakuwa salama coz so far inaonekana shutma dhidi yake hazina Ushahidi.
PAC wamesema watazunguka nchi nzima kukagua ni vituo vingapi vina mashine. Hiyo inaonyesha kwamba bado issue ya Lugumi haina uhakika. Ni kama ndugu wa CUF walivyosema "kuna harufu" ya Ufisadi.
Nadhani ni busara tusubiri wakati ufike Ukweli ujulikane.
Utotoni tulikuwa na kamchezo ka "kwenda kusema kwa baba" . Mara kadhaa mchezo huo ulitumika kwa lengo mbaya. Watoto wenye tabia ya uongo na kusema sema sana, waliweza kuwasingizia wenzao kwa "baba" ili wao waonekane Wema.
Kamchezo haka siku hizi kanafanywa na wakubwa. Kwa kuwa Rais Magufuli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.