Recent content by Epec

  1. Epec

    Msaada...

    Into the badlands!!! Vip hiz ni kali?
  2. Epec

    Msaada...

    Nimeangalia zote kasoro Marcopolo
  3. Epec

    Msaada...

    Kwa anayuzijua Series Kali!!! Msaada tafadhali
  4. Epec

    HIVI TANZANIA KATIBA INARUHUSU NDOA ZA MKATABA?

    Duuh. ..ndo ya Mkataba imekaa kihuni sana kwa kuangalia tamaduni zetu. Sina hakika, lakini nadhani Sheria zetu haziruhusu coz sheria zetu kwa kiasi kikubwa zinaakisi tamaduni.
  5. Epec

    Vita ya vituo vya redio: Choice fm, E fm , East Africa Radio.Je, soko limekua?

    Siku hizi tunaona mbwembwe za kila aina zinazofanywa na watu wanaomiliki redio. Wiki chache zilizopita, tulisikia kwamba watangazaji wawili kutoka Clouds Fm wamehamia EFM. Kuanzia wiki iliyopita tunaona East Africa Redio wakigawa mafuta kwa madereva bodaboda kupitia mtu wao anaitwa Kachero...
  6. Epec

    Yanga poleni jipangeni tena

    Ni kweli kwamba Mlicheza vizuri sana. Lakini mpira uko hivyo. Cha msingi kazeni kwa ajili ya mwakani
  7. Epec

    Said Lugumi avunja ukimya kuhusu tuhuma za ufisadi zinazoikabili kampuni yake

    Katika kipindi hiki kuna wengi wataumizwa kwa kashfa na propaganda zinazochochewa na visasi na chuki. Mungu amjalie Rais wetu na vyombo vyote vya dola Hekma katika kufanya maamuzi. Mimi naamini Bwana Lugumi atakuwa salama coz so far inaonekana shutma dhidi yake hazina Ushahidi.
  8. Epec

    UKAWA kula sahani moja na Lugumi Bungeni

    PAC wamesema watazunguka nchi nzima kukagua ni vituo vingapi vina mashine. Hiyo inaonyesha kwamba bado issue ya Lugumi haina uhakika. Ni kama ndugu wa CUF walivyosema "kuna harufu" ya Ufisadi. Nadhani ni busara tusubiri wakati ufike Ukweli ujulikane.
  9. Epec

    Nape, kuna maana gani marudio ya Bunge kuwa usiku wote huu?

    Jk tumseme kwa yote lakini sio kubana watu kuongea..for sure . Bunge la 10 na Matusi yote dhidi yake but hakuzuia lisiruke
  10. Epec

    Nape, kuna maana gani marudio ya Bunge kuwa usiku wote huu?

    Wanadhani Bunge ni Tamthiliya za Kifilipino..... #JPM rudisha Bunge live.
  11. Epec

    Said Lugumi avunja ukimya kuhusu tuhuma za ufisadi zinazoikabili kampuni yake

    Utotoni tulikuwa na kamchezo ka "kwenda kusema kwa baba" . Mara kadhaa mchezo huo ulitumika kwa lengo mbaya. Watoto wenye tabia ya uongo na kusema sema sana, waliweza kuwasingizia wenzao kwa "baba" ili wao waonekane Wema. Kamchezo haka siku hizi kanafanywa na wakubwa. Kwa kuwa Rais Magufuli...
  12. Epec

    Nauza kiwanja kwa heka Goba, zimebaki heka 8 bei poa

    Hahaha...eti kipindi Cha Magu...ila kweli mzee. .kipindi hili 20M ni parefu sana.
  13. Epec

    TUCTA yapinga mpango wa Rais Magufuli kukata malipo ya mishahara

    Acheni Muisome namba....mumeipenda wenyeeweee. .... Na huyo ndio Rais mliepigia kura. Tulieni afanye kazi
Back
Top Bottom