UKAWA kula sahani moja na Lugumi Bungeni

UKAWA kula sahani moja na Lugumi Bungeni

Uache kumuamini Mwakyembe unayeishi nae nyumba moja mpaka leo, uje umuamini Lema asiyehusika na laana za nyumba yenu?! unachekesha kweli wewe, kwa uongo ule wa Mwakyembe mngekuwa na akili mngemkomalia aweke ushadi hadharani maana ule walioutoa kina Lema Lowasa alisema hausiki alieuandaa wakutane mahakamani, upo? Haya tangulieni mahakamani basi?!
Wewe ulimuamini lema na CHADEMA kipindi kile inakuwaje unaacha kuwaamini kwa sasa? Mamvi ni jizi lilokubuhu, linapaswa lifungwe, na nisuala la muda tu utaona huyo lazima aende korokoroni! Akina lema na CHADEMA ndiyo wenye ushahidi
 
Wewe ulimuamini lema na chadema kipindi kile inakuwaje unaacha kuwaamini kwa sasa? Mamvi ni jizi lilokubuhu, linapaswa lifungwe, na nisuala la muda tu utaona huyo lazima aende korokoroni! Akina lema na chadema ndiyo wenye ushahidi
Niliamini kabla Lowasa mwenyewe haja kanusha lakini baada ya kukanusha na Mwakyembe kashindwa kumpeleka mahakamani ndio nikaona ulikuwa wivu tu na roho mbaya, mpelekeni basi mbona muhando kapelekwa na mahakama imemuachia huru? Nae si aliitwa fisadi? Tumechoka na tuhuma za mitandaoni na nyie.
 
..nyie UKAWA acheni kuropoka kwenye media....kama mna uthibitisho wa yale msemayo kwanini msisubiri sessions za bunge mkasema??....hamwoni mnaposema hivi mnawapa nafasi wahusika/watuhumiwa kujipanga kuwajibu???....haswa issue yenyewe ilivyo sensitive kwa jeshi la polisi....kuanza kusemasema hivyo kwenye media sio mahali pake....subirini bunge mkaseme....ili iundwe tume huru kuchunguza kama ilivyokuwa kwa scandal nyingine kama escrow.....kusema hovyo huku kunawaharibia sana...haswa ukizingatia hoja zinapungua sana kwenu wakati huu wa utawala wa JPM....Jipangeni vema kwa hoja chache mlizonazo...
 
Tanzania Tanzania Tanzania, kuna nini nchi hii? Wapo watu wanatetea hata haya ya lugumi. Tutafika wapi, waache UKAWA wafanye kazi kwani ni kwaajili ya watanzania
 
PAC wamesema watazunguka nchi nzima kukagua ni vituo vingapi vina mashine. Hiyo inaonyesha kwamba bado issue ya Lugumi haina uhakika. Ni kama ndugu wa CUF walivyosema "kuna harufu" ya Ufisadi.
Nadhani ni busara tusubiri wakati ufike Ukweli ujulikane.
 
Wasisahau na ile kesi ya mkwe wa Lowasa na meneja kampeni wa Lowasa walioiibia serikali bilioni 12.....
Pata juice ya embe nitumie namba za muuza duka nimtumie Kwa Tigo pesa chapu.
 
Mi nafikiri UKAWA wangeachana na na hii issue ya Lugumi maana italeta marumbano ya kisiasa na hitimae tuanza ya NDIYOOOO. Sasa hapo tutakuwa tumeliwa sisi maana Lugumi itatetewa na walio wengi. Bora waachwe waliolikoroga walinywe wenyewe
 
Unatokwa povu jingi na mchana hujala embu tafuta kipande cha muhogo ule utatupa hasara mjini hapa!
Haahaaahhaa! pole mie si wa kushindia kipande cha muhogo, natafuta hela, NAWEKA NINAPOTAKA NA KULA NINACHOTAKA.. wewe endelea kusubiri U DC.. ukimshambulia mbowe, wakati wenzako tunaendlea kuzisaka.. akili kichwani, pole kwa kushindwa kuwa mshika hela za MH. MBOWE.
 
Back
Top Bottom