The arguments people make are those that appear the strongest to themselves and the people who already agree with them. But such arguments tend to be meaningless to people who disagree.
Ahsante kwa ushauri wako lkn maisha mazuri sio tu kwa kujiajiri wapo walioajiriwa na wana maisha mazuri hata ww umeadmit kuajiri watu so watu wote wangejiajiri ungepata wapi man power?..tatizo la vijana Tanzania ni investment... We should know how to invest on different things...ukiangalia...
Wenyewe wana cliché yao inayosema wao ni kioo cha jamii so kila wanachofanya lazima kimulikwe ...hakuna haja ya kuongea lugha usio ijua kufikishe ujumbe,matokeo yake anajipotezea soko na popularity
Ha ha ha ha ha...Tatizo lako linaweza kuwa na chanzo kingine kwa hiyo usi attribute moja kwa moja chanzo ni punyeto...hapo inabidi uangalie ulaji wako na UMESEMA MWENYEWE BILA VIROBA NA KONYAGI hufanyi mambo ni wazi ww ni alcoholic vitu ambavyo huwa vinapunguza libido ...in nutshell angalia...
Yap ...hiyo unaongelea PEP(post exposure prophylaxis).. Ni short course ya ARVs kwa muda wa mwezi mmoja inafanya kazi ndani ya masaa 72(siku tatu) baada ya potential exposure baada ya hapo uwezo wa kuzuia maambukizi ni mdogo sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.