Donald & Diamond Platnumz - Wangu - Official Music Video

Donald & Diamond Platnumz - Wangu - Official Music Video

Mtoto wa tandale kajizoelea zake viuno atakua kapata tabu ha ha ha ila katafta mahali akakata kiuno kidogo

teh teh teh!ila amepatia sana zile style za kina Neyo amezitendea haki!sikutegemea kiukweli kama anaweza kwenda na zile beat.Kweli yule ni msanii anajua kubadilika badilika
 
Haka kajamaaa kajanja kajanja huu ndio usanii sio lazima uwe na sauti nzuri tu bali ubunifu na kua mpya sio kila siku stile moja tu mpaka mashabiki wakuzoee ndio maana leo mchiriku, kesho mduara, afropop , zouk leo tena kaja hivi sasa chibu tupelekee congo wengine kule ndiko tuna mapenzi nako.
 
Yah mkuu hii type ya music kikwetu huku watu hawaelewi sna lkn kama ushawah kuwasikiliza Liquideep utaelewa huu mziki ni mtamu sna na South wanaupenda sna Diamond kaimba vzr BigUp.

Huu muziki nausikiliza sana, ata kwenye show ya MiCasa hapa bongo nilienda.. Namkubali pia Zahara.
 
Kusema ukweli Diamond Platnumz si raia wa kawaida tena na huko unakoelekea wakina Jay z, T pain wakina Dr Dre, Rihanna wataomba collabo na watajipanga foleni!!
 
Huu muziki nausikiliza sana, ata kwenye show ya MiCasa hapa bongo nilienda.. Namkubali pia Zahara.

Unajua mziki mzr bro m nilikua arusha walivyokuja MiCasa nilimis show na Liquideep jamaa wanajua kuimba sana.
 
Heeh mungu wangu yani sijawahi ona wimbo na collabo bovu kama hili, hasa sauti ya Mondy haisikiki vizur, yani kiufupi sijaelewa kabisa huu wimbo huyu jamaa stress zinamuua kwakwel mbona anaporomoka kiasi hiki wakuu? Huyu siyo yule Mondy wa Number 1 nayemjua mimi sema mashabiki mandazi wanasifia ujinga lakin binafsi sio siri najuta hata kumaliza bundle langu kuangalia video mbovu kama hii, heri hata PNC au mrisho mpoto kuliko huyu jamaa
 
Heeh mungu wangu yani sijawahi ona wimbo na collabo bovu kama hili, hasa sauti ya Mondy haisikiki vizur, yani kiufupi sijaelewa kabisa huu wimbo huyu jamaa stress zinamuua kwakwel mbona anaporomoka kiasi hiki wakuu? Huyu siyo yule Mondy wa Number 1 nayemjua mimi sema mashabiki mandazi wanasifia ujinga lakin binafsi sio siri najuta hata kumaliza bundle langu kuangalia video mbovu kama hii, heri hata PNC au mrisho mpoto kuliko huyu jamaa

Usimshirikishe mungu kwenye upumbavu wako. Hakukuumba uwe mjinga hivi.
 
Hahaha Donald hajazoea mambo haya hahaha akikuta kesho 50k c atazimia 😀😀
 

Attachments

  • 1437429622166.jpg
    1437429622166.jpg
    28 KB · Views: 278
[FONT=Roboto, arial, sans-serif]Mimi sio mpenzi wa secular musics ila mafanikio ya Diamond yananipa raha na kujifunza kila siku.

Diamond ni fundisho kubwa kwa watanzania, kuwa haijalishi background yako, jitihada zako katika kipaji ulicho nacho zitakutoa tu, Kijana anajichanganya tu na anazid kuwin crowd kubwa ya supporters all over the world, Wangu ni house music sio wetu East Africa sishangai usipokubalika au kuchuku muda kukubalika maana
[/FONT]house music[FONT=Roboto, arial, sans-serif] ni South Africa style, kingine Diamond nazani kautoa haraka sana kabla ya kupata ushauri mzuri, huu wimbo haujakaa sawa kuna kitu kinakosekana. [/FONT]
 
huu wimbo binafsi sija ukubali,hauna ladha tuliyo izoea ya diamond,staili ya donald haiendani na ya chibu,na ndio maana huyu donald hawiki kwa saaana afrika coz aina ya muzik anao ufanya umepoa saanaa!

Generally the song is poor mi sija uelewa kabisa hasa audio!

ni maoni yangu!
 
Heeh mungu wangu yani sijawahi ona wimbo na collabo bovu kama hili, hasa sauti ya Mondy haisikiki vizur, yani kiufupi sijaelewa kabisa huu wimbo huyu jamaa stress zinamuua kwakwel mbona anaporomoka kiasi hiki wakuu? Huyu siyo yule Mondy wa Number 1 nayemjua mimi sema mashabiki mandazi wanasifia ujinga lakin binafsi sio siri najuta hata kumaliza bundle langu kuangalia video mbovu kama hii, heri hata PNC au mrisho mpoto kuliko huyu jamaa

Laana nyingine zakujitafutia
 
Video classic, mi sijaupenda wimbo kwani sijamzoea mondi kwenye miondoko hiyo. Ila ndio aina ya nyimbo za Donald.
 
Back
Top Bottom