Admin naomba msifute huu uzi, kwani uzi wangu wa mwanzo mliufuta, baada ya kuona hali ya maisha kuwa ngumu na hakuna ajira, nimeona nianze kujiajiri kwenye FOREX, ila sifahamu chochote kuhusu hii Forex, ndio maana nikasema nataka niende nikasomee kwa ONTARIO, hivyo basi kwa wale wazoefu wa FOREX...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.