Ebu nisaidie kuelewa yule jamaa Wa nyuma Wa raisi anatoka kitengo gani cha jeshi au anachaguliwaje,Je sio komandoo? Mi mpaka Leo ndo najuaga yule ni mtu hatari na mwenye mafunzo adhimu kuliko askari yoyote yule.au nikiwa UvCcm na kukimbia mgambo tu napata ile nafasi? Huu upambe sijaelewa mkuu...
Hakika Haya maneno yananisumbua kuyaelezea kwa tafsiri sahihi.
Naishia kusema tu mtu ni binadamu na binadamu ni Mtu.
Karibuni wataharamu wa lugha. Munisaidie Kunipa tofauti Ya haya Maneno.
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.