Recent content by engine search

  1. engine search

    Gari la Wagonjwa (ambulance) likikutana na msafara wa Rais, nani anatakiwa asimame?

    Ni laisi sana kuuwawa Wananchi mia kwa ajili ya Raisi katika mambo ya kiusalama Yeye ni Muhimu zaidi kwenye nchi kuliko raia mmoja Wa nchi
  2. engine search

    Natafuta mume

    Hahahahaahaha duuu
  3. engine search

    Hivi Rais analindwa na vikosi vingapi vya askari?

    Ebu nisaidie kuelewa yule jamaa Wa nyuma Wa raisi anatoka kitengo gani cha jeshi au anachaguliwaje,Je sio komandoo? Mi mpaka Leo ndo najuaga yule ni mtu hatari na mwenye mafunzo adhimu kuliko askari yoyote yule.au nikiwa UvCcm na kukimbia mgambo tu napata ile nafasi? Huu upambe sijaelewa mkuu...
  4. engine search

    Kitabu: New World Order - Uchambuzi

    Watu Tunasubiria
  5. engine search

    Iran yatoa hati ya kukamatwa Rais Trump, yaiomba Interpol kusaidia

    Hahaha kwani Nani alifunga bao la ushindi la simba juzi?
  6. engine search

    Kama una swali linalohusu Mahusiano basi karibu

    Ukiwa unaswali lolote linalohusu Mahusiano na Ndoa basi thread hii ni ya kwako, Achilia swali lako chini upate ushauri kutoka kwa Wachangiaji tofauti.
  7. engine search

    Afrika hatukumjua shetani

    Kama ni kweli unachokieleza 'jipige' makofi.
  8. engine search

    Naomba kujuzwa tofauti kati ya Mtu na Binadamu

    hahahahah duuuuh sawa mkuu
  9. engine search

    Naomba kujuzwa tofauti kati ya Mtu na Binadamu

    Hakika Haya maneno yananisumbua kuyaelezea kwa tafsiri sahihi. Naishia kusema tu mtu ni binadamu na binadamu ni Mtu. Karibuni wataharamu wa lugha. Munisaidie Kunipa tofauti Ya haya Maneno. Asante
Back
Top Bottom