Recent content by ENG.PETER

  1. E

    Ipi siri ya nchi ndogo ya Korea Kusini kuzalisha umeme mwingi wa Gigawatts 143?

    Total capacity ya megawatt Tanzania ni 1600MW na bwawa la Nyerere likikamilika jumla tutakuwa na MW 3600. Hizo 10,000 umezitoa wapi? Kwa kifupi currently tunazo GW 1.6 kulinganisha na Korea mwenye 143GW.
  2. E

    Tusisahau haya aliyoyafanya Ndugai akiwa Spika wa Bunge

    Alimpasua mwenzie fimbo ya kichwa kisa madaraka
  3. E

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Tazama kuzuri hakuwa offside
  4. E

    Taasisi nyeti nchini Rwanda sasa zaongozwa na Wataalamu kutokea Ulaya, Marekani na Israel

    Sasa kama kuna waTanzania wameajiriwa nje.... kwanini hutaki wageni kuajiriwa kwetu kama sifa wanazo?
  5. E

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Sawa dada umesikika
  6. E

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Namna pekee ya kubeba kombe ni kuliiba tu.
  7. E

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Nawakumbusha mnaenda mwaka wakumi huu bila ubingwa na bado labda klop na gadiora wasiwepo
  8. E

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Wewe kwako msamiati unaoitwa typ error hamnaga? Mbona unaangaika na vity vidogo?
  9. E

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Huyu Gerradi nimeanza kumwelewa Anather cleanshit
  10. E

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Epl is back vipi Pogba aanze au aendelee kula bench
  11. E

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mna laana nyie sio bure
  12. E

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hii timu haina uwakika wa kushinda team yoyote iliyopo top 10 kwasasa. Na huo ndo ukwel
  13. E

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Poleni sana nyumbu.leo siwacheki
Back
Top Bottom