Recent content by ENG.PETER

  1. E

    JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    Haya tunaomba na wale wa tunatiki kwa week nzima tuone kama watafikisha comment 200
  2. E

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Makati huo huo umefunga 16 kwa setpc na kufungwa 12... nawaona watu wa asernal mnalalamika kuonewa wakati huo mnacheza huuni kufunga hayo magoli.. kama yangechunguzwa walao robot yangekuwa disqualified.
  3. E

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Em nitajie timu ambayo kwenye mechi 38 haikuathilika na maamuzi mabovu
  4. E

    Wadau, App Gani Mpya Inahitajika Bongo au ni wazo gani la App umewahi kuwa nalo? Shusha Idea Yako Hapa!

    App ya family tree ..najua zipo nyingi free na zakulipia Ila tengeneza itakayoweza kuendana na mazingira ya kibongo. Unaweza kuwa na features muhimu kama 1. Picha za mwanafamilia 2.mawasiliano yake 3.live location 4.mtu familia moja ikifiwa iweze kualert member wote kwenye familia tree 5...
  5. E

    Jinsi Marekani ilivyoizuia China ili Israel ifanikiwe katika shambulizi la vifaa vya mawasiliano (pagers)

    Shambulizi lilikuwa kwa walengwa pekee (hez..) kwakua vilipuzi viliwekwa kwenye order iliyokuwa imeagizwa na hao hezbra. Mfano kuna mtoto wa miaka 9 kalipukiwa na hiyo pager kwa kuwa ilipoita tu akampelekea babaake ambaye ni hezbra ili haipokee but kabla muhusika hajaipokea ikalipuka na kumuua...
  6. E

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ode kwa game style na role yake pale katikati sioni wakuziba pengo lake, nawaombea apone haraka kabla hamjatoka relini. Last season mlikuwa na bahati ya majeruhi kabisa bt this time bundi kaanza kuwanyemelea mapema kweli.
  7. E

    Ipi siri ya nchi ndogo ya Korea Kusini kuzalisha umeme mwingi wa Gigawatts 143?

    Total capacity ya megawatt Tanzania ni 1600MW na bwawa la Nyerere likikamilika jumla tutakuwa na MW 3600. Hizo 10,000 umezitoa wapi? Kwa kifupi currently tunazo GW 1.6 kulinganisha na Korea mwenye 143GW.
  8. E

    Tusisahau haya aliyoyafanya Ndugai akiwa Spika wa Bunge

    Alimpasua mwenzie fimbo ya kichwa kisa madaraka
  9. E

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Tazama kuzuri hakuwa offside
Back
Top Bottom