Recent content by EMMYGUY

  1. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Kuwa makini na hizo kampani zako huko mtaani!

    Makundi ya vijana hasa hao mabodaboda walio wengi wanavijistori vya hovyo sana. Akili za kuambia, changanya na zako, lakini yeye sijui alichanganya na Nyagi....🤔
  2. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Baada ya Mabakuli kurudi kapa; Serikali kuja na mpango wa kuongeza kodi

    Kwani Machawa wanasemaje juu ya hili, hebu wakuje huku kidogo.
  3. EMMYGUY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wakuu,Nimerogwa na mpenzi

    Itakuwa kuna jambo umemdanganya nalo mkuu. Punguza umalaya kijana.
  4. EMMYGUY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba msaada na ushauri katika suala hili wana JamiiForums

    Mkuu! Usijali, kuingia kwenye hedhi yake inategemeana na mzunguko wake kama ni mrefu ama wa kawaida. Lakini pia kuchelewa kunatoka na hali na mazingira yake. Mkuu, ondoa hofu.
  5. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Chemsha bongo

    Hadi hapo nina pointi 2 pekee. 😄😄
  6. EMMYGUY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi ni sahihi mtoto wa kike kumfumania Mzee wake tena kwa yowee kuita watu washuhudie?

    Huyo binti alitolea wapi ujasiri wa kumkingia kifua mama yake, ama na yeye alikuwa anamtaka baba yake?!
  7. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Hawa majambazi walijichanganya na hiki ndicho kilichowakuta

    Hakuna kucheka na mwizi. Hapo hata wao hawakujua wamebeba abiria mjanja.
  8. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Sio lazima kila mtu aanzishe familia

    Kuna ka ukweli flani hapo.
  9. EMMYGUY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vituko majaribu na mitego ya mashemeji

    Wengi sana wamezaa na shemeji zao mkuu. Na mara nyingi sisi wanaume huwa ni ngumu sana kuchomoka kama shemeju yake akimtaka.
  10. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kukaa mahabusu/jela tukutane hapa!

    Aheri ya jela na sio lock up mkuu.
  11. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Wanaocheka au kubeza CCM kubeba watu kwa magari kuwafikisha kwenye mikutano yao ujumbe wenu ni huu

    Taarifa yako ina 'base' mtaani kwako ama!
  12. EMMYGUY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke ahukumiwa kwa kula nauli ya mwanaume, Nigeria

    Dawa ya deni ni kulipa. Jenny alipe tu.
  13. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Huyu ni nani?

    Boss wa makaa ya mawe.
  14. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mwanadada Azra Ronaldo akutwa amefariki chumbani kwake

    Apumzike kwa Amani.
Back
Top Bottom