Recent content by EMMYGUY

  1. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kuna Mwanasiasa anavuka Red line soon.

    Nilidhani Al Shabaab imeingia, kumbe ni wazawa.
  2. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Huyu dada ajengewe sanamu lake

    Wanaume tutajitetea wenyewe.
  3. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Jitahidi kujua anayekupenda kwa dhati na anayekupendea muonekano, kwani anayekupenda kwa dhati tu ndo anaweza kudumu na wewe milele

    Pole kwa kukataliwa mkuu, kumbuka wanawake ndivyo walivyo. Wewe komaa nae tu, mwisho atakubali.
  4. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Zamani msichana akiolewa alikuwa anaumwa wiki nzima Anaamka anachechemea. Siku hizi kesho yake anaamkia kazini. Bado natafuta tatizo liko wapi?

    Vijana wa sasa wanapenda vyakula vya mafuta, kukamia shoo inakuwa ngumu.
  5. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Kujaa kwa mikutano ya Chadema tafsiri yake Mama hakubaliki au CCM imechokwa?

    Wananchi wamechoka, wanahitaji wanahitaji mabadiliko.
  6. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi apiga marufuku mikutano ya siasa kwa vyama vyote

    Ila CCM ina mambo ya ajabu sana.
  7. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi: Wamiliki wa Hoteli, AirBnB, Guest Houses na Lodge nchini wasajili wageni wote kwa kutumia kitambulisho cha NIDA

    Kila raia anakitambulisho cha NIDA?! Tuanzie hapa kwanza.
  8. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Hali ya hewa Marangu -Rombo haifai siku ya leo Juni 25

    Hamia Mwanza mkuu, nutakupa hufadhi ya mda.
  9. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya ndoto zangu(my dream house)

    Mungu ni mwema, atakupigania mkuu.
  10. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Marehemu Kibonde aomba msaada wa Kisheria kuhusu mirathi ya baba yake

    Nimeuliza si kwa ubaya mkuu. Wengi wa kudhurumiwa mirathi ni watoto wa nje ya Ndoa.
  11. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Marehemu Kibonde aomba msaada wa Kisheria kuhusu mirathi ya baba yake

    Kwani hao watoto si ni wa mwanamke mwingine ama?!
  12. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu anajua ni nini kinaendelea hapa?

    Hao itakuwa Wasukuma wa Tabora.
  13. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya ndoto zangu(my dream house)

    Mkuu, ifanye uwe nyumba ya uzeeni.
  14. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Katambi: Serikali imetenga Milioni 100 kuwalipa watoa taarifa za uhalifu nchini

    Ngoja nikae kimya maana.....
  15. EMMYGUY

    JamiiForums Tanzania Kupeleka mtoto shule ya English Medium ya ada mamilioni ni kukosa maarifa au ulimbukeni?

    Kwa mtaala wa Tanzania, siwezi kufanya huo upuuzi.
Back
Top Bottom