Recent content by EMMYGUY

  1. EMMYGUY

    Rasmi: I want to Say Good bye to All JF people

    Kwani utamwambia kuwa umeingia jf?! Usiwe muoga kiasi hicho.
  2. EMMYGUY

    Michael Jackson alitaka kuishi miaka 150

    Ukizaliwa ujue kuna kifo kinakusubiri.
  3. EMMYGUY

    Kaa kimasta kijana, hisia sio mzigo mzuri kwako

    Wanaume wa siku hizi wanalizwa na mapenzi na sio Upambanaji.
  4. EMMYGUY

    Kaa kimasta kijana, hisia sio mzigo mzuri kwako

    Nshafika mkuu. Ngoja niipitie mada.
  5. EMMYGUY

    Baba mkwe hataki nihame kwake

    Uliwezaje kwenda kuishi ukweni?!
  6. EMMYGUY

    Baba na mwana wanapoacha majonzi katika jiji la Washington DC

    Ni kweli kabisa mkuu. Ndo maana wanasiasa wametufanya mtaji.
  7. EMMYGUY

    Baba mkwe hataki nihame kwake

    Ila una moyo sana.
  8. EMMYGUY

    Kigoma hatuna umeme kwa saa 20 zilizopita TANESCO wanatafuta sukari

    Huyu Waziri kwanini asijiuzuru?!! Anahisi anafaa kuendelea kushikiria madaraka yaliyomshinda!
  9. EMMYGUY

    Nipo ugenini, wanapika chakula kidogo mno

    Wanabana matumizi, maisha magumu haya jamani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  10. EMMYGUY

    Marekani hakuna Rais daktari, CPT, Engineer wala Advocate? Kwanini hawapendi kusoma?

    Huku kwetu wanasiasa Ma-dr wanazidiwa akili na akina Msukuma. [emoji23][emoji23][emoji23]
Back
Top Bottom