Recent content by EMMYGUY

  1. EMMYGUY

    Kuwa makini na hizo kampani zako huko mtaani!

    Makundi ya vijana hasa hao mabodaboda walio wengi wanavijistori vya hovyo sana. Akili za kuambia, changanya na zako, lakini yeye sijui alichanganya na Nyagi....🤔
  2. EMMYGUY

    Baada ya Mabakuli kurudi kapa; Serikali kuja na mpango wa kuongeza kodi

    Kwani Machawa wanasemaje juu ya hili, hebu wakuje huku kidogo.
  3. EMMYGUY

    Msaada wakuu,Nimerogwa na mpenzi

    Itakuwa kuna jambo umemdanganya nalo mkuu. Punguza umalaya kijana.
  4. EMMYGUY

    Naomba msaada na ushauri katika suala hili wana JamiiForums

    Mkuu! Usijali, kuingia kwenye hedhi yake inategemeana na mzunguko wake kama ni mrefu ama wa kawaida. Lakini pia kuchelewa kunatoka na hali na mazingira yake. Mkuu, ondoa hofu.
  5. EMMYGUY

    Chemsha bongo

    Hadi hapo nina pointi 2 pekee. 😄😄
  6. EMMYGUY

    Hivi ni sahihi mtoto wa kike kumfumania Mzee wake tena kwa yowee kuita watu washuhudie?

    Huyo binti alitolea wapi ujasiri wa kumkingia kifua mama yake, ama na yeye alikuwa anamtaka baba yake?!
  7. EMMYGUY

    Hawa majambazi walijichanganya na hiki ndicho kilichowakuta

    Hakuna kucheka na mwizi. Hapo hata wao hawakujua wamebeba abiria mjanja.
  8. EMMYGUY

    Sio lazima kila mtu aanzishe familia

    Kuna ka ukweli flani hapo.
  9. EMMYGUY

    Vituko majaribu na mitego ya mashemeji

    Wengi sana wamezaa na shemeji zao mkuu. Na mara nyingi sisi wanaume huwa ni ngumu sana kuchomoka kama shemeju yake akimtaka.
  10. EMMYGUY

    Tuliowahi kukaa mahabusu/jela tukutane hapa!

    Aheri ya jela na sio lock up mkuu.
  11. EMMYGUY

    Mwanamke ahukumiwa kwa kula nauli ya mwanaume, Nigeria

    Dawa ya deni ni kulipa. Jenny alipe tu.
  12. EMMYGUY

    Huyu ni nani?

    Boss wa makaa ya mawe.
Back
Top Bottom