Makundi ya vijana hasa hao mabodaboda walio wengi wanavijistori vya hovyo sana. Akili za kuambia, changanya na zako, lakini yeye sijui alichanganya na Nyagi....🤔
Mkuu! Usijali, kuingia kwenye hedhi yake inategemeana na mzunguko wake kama ni mrefu ama wa kawaida. Lakini pia kuchelewa kunatoka na hali na mazingira yake. Mkuu, ondoa hofu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.