Recent content by emmarki

  1. emmarki

    JamiiForums Tanzania Natengeneza madhabahu kwenye biashara, kazini, na kwenye famila kwa ajili ya kukabiliana na upinzani wa kiroho

    Tupe uzoefu wako, wangapi wamefanikiwa kupitia wewe.
  2. emmarki

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha kwenye mifuko

    Hivi hakuna mtu anayefanya hiki kitu?
  3. emmarki

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha mbogamboga kisasa

    Niulize, hivi Kuna mfumo au mashine ya kuwezesha kufanya mboga za majani zilizovunwa zikae zikiwa fresh bila kusinyaa angalau kwa muda wa siku 7
  4. emmarki

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza kupata unga wa dagaa omena wenye ubora wa juu

    ingia ukerewe kutana na waanika dagaa, dodosa utapata info za uhakika
  5. emmarki

    JamiiForums Tanzania Kwenye Biashara ya Super Market hasa hizi Kubwa, Fruits, Vegitable na fresh food zingine ndio Cash cow yao

    Mkulima aliyejengewe uwezo wa kufanya kilimo kibiashara, au watu wa kati ndio mara nyingi hununua mazao kwa wakulima na kuwauzia supermarket
  6. emmarki

    JamiiForums Tanzania Mifuko ya kukuzia mimea

    kwamba hakuna mtu anafahamu chochote kuhusu hii mifuko?
  7. emmarki

    JamiiForums Tanzania Tulipitia hili kosa kwenye Ufugaji wa Kuku ili wewe usilirudie

    lipia tangazo mkuu
  8. emmarki

    JamiiForums Tanzania Kwenye Biashara ya Super Market hasa hizi Kubwa, Fruits, Vegitable na fresh food zingine ndio Cash cow yao

    wanaonunua masoko ya kawaida ni watu wa uchumi wa chini na wastani, wengi ambao uchumi umechangamka ni supermarket. Supermarket ubora umehakikishwa, hakuna longolongo za kuuziwa vitu vilivyoharibika. Ndio maana ni vigumu kwa wakulima kufanya biashara na supermarket coz ya vigezo vyao
  9. emmarki

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mashine ya kutengeneza sabuni za miche

    watafute facebook kuona video namna mashine zao zinavyofanya kazi
  10. emmarki

    JamiiForums Tanzania Chumba cha kuivishia matunda (Ripening chamber)

    natokea moshi, najua ndizi unaweza funika kwenye shimo ukiweka na maparachichi zinaiva vzuri. Nahitaji kuwekeza serious mkuu
  11. emmarki

    JamiiForums Tanzania Chumba cha kuivishia matunda (Ripening chamber)

    siyo container tupu, ndani kuna mifumo imefungwa ya kuwezesha kuchochea ethylene ili matunda yaive kwa wakati mmoja
  12. emmarki

    JamiiForums Tanzania Chumba cha kuivishia matunda (Ripening chamber)

    wall panels zinazotumika ni kama za cold room, kinachobadilika ni mifumo ya ndani
  13. emmarki

    JamiiForums Tanzania Kuivisha matunda kwa haraka

    Ndizi mbivu za Dar huivishwa kwa kuwekwa katika chumba maalumu cha kuivishia kwa lugha ya kimombo "Ripening chamber". Wakiongezea na kichochezi cha "Ethylene" vinavyowezesha matunda kuiva kwa wakati mmoja bila kuharibika. Kwa Tanzania wapi ninaweza kupata mtaalamu wa kudesign hizo chamber...
  14. emmarki

    JamiiForums Tanzania Chumba cha kuivishia matunda (Ripening chamber)

    Ndizi mbivu za Dar huivishwa kwa kuwekwa katika chumba maalumu cha kuivishia kwa lugha ya kimombo "Ripening chamber". Wakiongezea na kichochezi cha "Ethylene" vinavyowezesha matunda kuiva kwa wakati mmoja bila kuharibika. Kwa Tanzania wapi ninaweza kupata mtaalamu wa kudesign hizo chamber...
Back
Top Bottom