Recent content by emmarki

  1. emmarki

    JamiiForums Tanzania Wasaidizi kufungua biashara ndani ya biashara kunaua biashara nyingi sana, kijana anadai mshahara kila mwezi kumbe anakuibia mamilioni

    walikuwa wanasingiziwa wachaga ni wezi, gen-z wanaijua hela kuliko kizazi chochote kuwahi kutokea
  2. emmarki

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kujifunza sales and closing skills angalia hizi movie

    "Sell me this pen"
  3. emmarki

    JamiiForums Tanzania Dagaa wanaochakatwa kwa kuchemshwa, virutubishi vingi vinapotelea kwenye maji

    usafiri mmoja tu, zaidi ya hapo upande ndege nauli 155,000 hadi 160,000
  4. emmarki

    JamiiForums Tanzania Dagaa wanaochakatwa kwa kuchemshwa, virutubishi vingi vinapotelea kwenye maji

    Una utafiti mkuu, kuthibitisha kuwa dagaa ni kama bites!
  5. emmarki

    JamiiForums Tanzania Dagaa wanaochakatwa kwa kuchemshwa, virutubishi vingi vinapotelea kwenye maji

    Popote ulipo safari yako itaanzia mbagala, ukiwa hapo panda daladala zinazoenda kisemvule. Shuka kituo kinaitwa mwandege stand almaarufu kiwanda cha Bakheresa. Kulia kwako kuna stand, hapo kuna usafiri utakuchukua hadi Nyamisati (Kibiti) nauli 8,000. Nyamisati hapo utapanda kivuko kitakuleta...
  6. emmarki

    JamiiForums Tanzania Dagaa wanaochakatwa kwa kuchemshwa, virutubishi vingi vinapotelea kwenye maji

    Moderator fanya namna hii thread iwe kwenye other social network zenu please. Active Bridger Wand Reviser Cookie Boqin
  7. emmarki

    JamiiForums Tanzania Dagaa wanaochakatwa kwa kuchemshwa, virutubishi vingi vinapotelea kwenye maji

    Wanajamvi. Ninaishi kisiwa cha Mafia, mojawapo ya sehemu dagaa uono almaarufu dagaa wa nyama wanakopatikana kwa wingi. Katika usindikaji wa dagaa ili kuongeza muda wa kuhifadhi (shelf life), wachakataji huchemsha dagaa kwa chumvi nyingi ili wadumu muda mrefu bila kuharibika hadi kumfikia mlaji...
  8. emmarki

    JamiiForums Tanzania Pitching ya uwekezaji

    Unamkumbuka Jatu plc, hadi akalist kampuni DCE..kumbe hata bustani hakuwa nayo
  9. emmarki

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha kwenye mifuko

    nasubiria wakuu mje
  10. emmarki

    JamiiForums Tanzania Mifuko ya plastiki (Rambo) inarudi Kwa Kasi sana; hii Ina maana Gani?

    Mifuko ya magufuli ndio inaitwa non-woven bags?
  11. emmarki

    JamiiForums Tanzania Utajiri wa Magofu ya Rapta

    Huna mpango wa kupata macho ya kuweza kuona hizo mali mkuu
  12. emmarki

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa spiritual life sogelea hapa

    Moshi misiba ni fashion, unless uwe umefiwa wewe. Sare, mziki mkubwa, buffet set kuanzia mbili, mwili kushushwa kaburini na machines.
  13. emmarki

    JamiiForums Tanzania Update: Mfano wa oda ya mbao kutoka Njombe kupeleka Dar es Salaam yenye mchanganuo wa gharama na vibali vyote

    Jiji la matapeli wanapaka rangi ya magumashi zionekane zina dawa, tupe namna ya kutambua mbao zenye dawa
  14. emmarki

    JamiiForums Tanzania Nauza mchuzi wa WINE(MVINYO) kwa bulk purchase only

    huo mchuzi ndio huchakatwa na kuzalisha wine au unatumika kwenye nini, elimu kidogo
Back
Top Bottom