kisiwa cha mafia kina mazao bahari mengi sana yanayofamika na yasiyofahamika, wachache wanaofahamu ndio wanaokula mkate huo...hata hao huishia mikononi mwa wachina wahuni.
Kuna viumbe wa aina nyingi amabao bado jamii haijatambua umuhimu wake kibiashara (research hamna). Hata kwa mazao...
Niko wilaya ya Mafia, nalea vikundi vya wamama na vijana. Wanachama walio ndani ya hivi vikundi shughuli kubwa niliyoona wanafanya sana ni wanakopeshana sabuni za unga.
Wananunua carton ya sabuni ya unga mfano doffi wanakopeshana, baada ya wiki aliyekopeshwa anarejesha 2000 kwa kila pakiti ya...
utaratibu wa mwanamke aliyepewa talaka (ndoa walifunga msikitini na cheti kipo) anayetaka kufungua madai ya mgawanyo wa mali anaanzia wapi? Nimegee hatua kwa hatua kiongozi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.