Popote ulipo safari yako itaanzia mbagala, ukiwa hapo panda daladala zinazoenda kisemvule. Shuka kituo kinaitwa mwandege stand almaarufu kiwanda cha Bakheresa.
Kulia kwako kuna stand, hapo kuna usafiri utakuchukua hadi Nyamisati (Kibiti) nauli 8,000. Nyamisati hapo utapanda kivuko kitakuleta...
Wanajamvi.
Ninaishi kisiwa cha Mafia, mojawapo ya sehemu dagaa uono almaarufu dagaa wa nyama wanakopatikana kwa wingi.
Katika usindikaji wa dagaa ili kuongeza muda wa kuhifadhi (shelf life), wachakataji huchemsha dagaa kwa chumvi nyingi ili wadumu muda mrefu bila kuharibika hadi kumfikia mlaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.