Recent content by emmarki

  1. emmarki

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mashine ya kutengeneza sabuni za miche

    watafute facebook kuona video namna mashine zao zinavyofanya kazi
  2. emmarki

    JamiiForums Tanzania Chumba cha kuivishia matunda (Ripening chamber)

    natokea moshi, najua ndizi unaweza funika kwenye shimo ukiweka na maparachichi zinaiva vzuri. Nahitaji kuwekeza serious mkuu
  3. emmarki

    JamiiForums Tanzania Chumba cha kuivishia matunda (Ripening chamber)

    siyo container tupu, ndani kuna mifumo imefungwa ya kuwezesha kuchochea ethylene ili matunda yaive kwa wakati mmoja
  4. emmarki

    JamiiForums Tanzania Chumba cha kuivishia matunda (Ripening chamber)

    wall panels zinazotumika ni kama za cold room, kinachobadilika ni mifumo ya ndani
  5. emmarki

    JamiiForums Tanzania Kuivisha matunda kwa haraka

    Ndizi mbivu za Dar huivishwa kwa kuwekwa katika chumba maalumu cha kuivishia kwa lugha ya kimombo "Ripening chamber". Wakiongezea na kichochezi cha "Ethylene" vinavyowezesha matunda kuiva kwa wakati mmoja bila kuharibika. Kwa Tanzania wapi ninaweza kupata mtaalamu wa kudesign hizo chamber...
  6. emmarki

    JamiiForums Tanzania Chumba cha kuivishia matunda (Ripening chamber)

    Ndizi mbivu za Dar huivishwa kwa kuwekwa katika chumba maalumu cha kuivishia kwa lugha ya kimombo "Ripening chamber". Wakiongezea na kichochezi cha "Ethylene" vinavyowezesha matunda kuiva kwa wakati mmoja bila kuharibika. Kwa Tanzania wapi ninaweza kupata mtaalamu wa kudesign hizo chamber...
  7. emmarki

    JamiiForums Tanzania Mifuko ya kukuzia mimea

    Wakuu, Kilimo cha mjini kinakua kwa kasi, watu wanakuza mimea kama mboga za majani hadi matunda kwenye ndoo, mifuko ya cement iliyotumika na chochote chenye nafasi ya kuingia udongo. Kuna mifuko maalumua ya kukuzia mimea inaitwa "grow bags". Angalia kwenye picha, kwa Dar inapatikana wapi wenye...
  8. emmarki

    JamiiForums Tanzania Nini Chanzo cha mawazo?

    Kwa hiyo nikiwa sijalala nakuwa sina controll ya kuamua nishut down my thoughts. Kama mimi ndiye ninayewaza, kwa nini siwezi kuweka off kuwaza?
  9. emmarki

    JamiiForums Tanzania Nini Chanzo cha mawazo?

    physiological english.
  10. emmarki

    JamiiForums Tanzania Nini Chanzo cha mawazo?

    "Who is thinking you thought" Hivi ulishawahi kujiuliza mambo tunayoyawaza huwa yanatokea wapi. Kama yanatoka kwako, kwa nini huwezi kujizuia kuwaza..yaani ndani ya fikra zako kukawa kimya kabisa bila kuwaza chochote.
  11. emmarki

    JamiiForums Tanzania TANESCO: Gridi ya Taifa yapata hitilafu. Umeme wakatika nchi nzima - Juni 27, 2026

    Mafia bado hatujaungwa kwenye gridi ya taifa, umeme kwetu upo
  12. emmarki

    JamiiForums Tanzania Sioni umuhimu wa kutafuta au kumiliki hela

    Bundle la internet na simu janja uliyotumia kuandika na kutuma huku jf umelitoa tu hapo shambani cyo!
  13. emmarki

    JamiiForums Tanzania Kati ya Senior Member, JF-Expert Member na Platinum Member, nani ana cheo kikubwa zaidi?

    faida ya kuwa platinum ni ipi mkuu
  14. emmarki

    JamiiForums Tanzania Nini chanzo cha Damu kuchafuka

    Hospitali ya wilaya mkuu, na hii ni mara ya pili nakutwa na hili tatizo.
Back
Top Bottom