Nini Chanzo cha mawazo?

Nini Chanzo cha mawazo?

emmarki

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2012
Posts
1,096
Reaction score
1,605
"Who is thinking you thought"

Hivi ulishawahi kujiuliza mambo tunayoyawaza huwa yanatokea wapi. Kama yanatoka kwako, kwa nini huwezi kujizuia kuwaza..yaani ndani ya fikra zako kukawa kimya kabisa bila kuwaza chochote.
 

Attachments

  • 3cca01406d3f5e8b425c581d8d082a97.mp4
    9.9 MB
"Who is thinking you thought"

Hivi ulishawahi kujiuliza mambo tunayoyawaza huwa yanatokea wapi. Kama yanatoka kwako, kwa nini huwezi kujizuia kuwaza..yaani ndani ya fikra zako kukawa kimya kabisa bila kuwaza chochote.
Inawezekana vipi kuwe kimya kabisa while ubongo upo active? Anyway, hapa ni swali juu ya swali ila nayo nadhani ni njia nzuri ya kujibu swali sometimes 😅
 
Ndio muda pekee ubongo unakua haushughulishwi sana... Coz mawazo huwa yanaanzia kwenye experience ya mambo mbalimbali tunayokutana nayo kwenye maisha ya Kila siku
Kwa hiyo nikiwa sijalala nakuwa sina controll ya kuamua nishut down my thoughts. Kama mimi ndiye ninayewaza, kwa nini siwezi kuweka off kuwaza?
 
Your mind tune into certain frequency to receive thoughts.
Thoughts are received by mind by changing into different frequencies.
Every thoughts are from Mental Plane.
Where thoughts flow.
Every thoughts have certain kind of frequency.
Human - Hue Man
Hue different attributes of color.
Every thoughts have energy and frequency.
Your mind act as a receiver to receive different thoughts.
Thoughts about peace , love , wisdom, understanding, prayers.are in high vibrational frequency (Blue , Indigo, Violet)

Thoughts about Anger, Hate , Lust, Anxiety are in low vibrational frequency.
 
"Who is thinking you thought"

Hivi ulishawahi kujiuliza mambo tunayoyawaza huwa yanatokea wapi. Kama yanatoka kwako, kwa nini huwezi kujizuia kuwaza..yaani ndani ya fikra zako kukawa kimya kabisa bila kuwaza chochote.
Chanzo ch mawazo ni maisha yenyewe🤔🤔
 
Kwa hiyo nikiwa sijalala nakuwa sina controll ya kuamua nishut down my thoughts. Kama mimi ndiye ninayewaza, kwa nini siwezi kuweka off kuwaza?
Hii inawezekana ila kwa kuutrain ubongo uzoee kuacha kuzingatia kelele zinazoendelea nje ili ubaki kwenye hali ya utulivu... Ukiwa unafanya meditation kuna level ya hivi baadhi ya watu wanaifikia, ingawa si wengi coz waliowengi hushindwa kufika hapa bali wao huambaa kwenye eneo moja na kupotelea hapo.

So as long as macho yanaona na maskio yanaskia kila keep nachoendelea basi ubongo huwa active kuchakata hivyo vyote, ila maskio yasiposkia na macho yasipoona ubongo huwa kwenye utulivu ambao utafanya usikumbuke jana wala kuunga dots zozote zitakazokupa taswira ya future.

Kwahiyo ili uweze kufikia hiki unachotaka nilazima ujifunze kulala ungali bado hujalala
 
Back
Top Bottom