Wakimua Jerry serikari itakuwa imehusika maana haya yote yanatokea hawachukui hatua. kwa mtazamo wangu Taaruma ya habari itakuwa imekufa. UWAZI NA UKWELI HAUTAKUPO TENAAAAAAAAAAAAAAAA katika taaruma hii mhimu.
Kwani kosa liko wapi? kama katika kuapa katika siku ya ndoa yenu kuwa UTAMPENDA WAKATI WA SHIDA NA RAHA. Sasa kama mtu alidiriki kusema maneno hayo mbele ya kiongozi wa dini yake, kwanini leo hii asimwonyeshe 'salary slip?'Ambao hawawaonyeshi wake zao salary slip jua hao ni hawana upendo wa...
Uongozi mzima wa ultimate hawafuata taratibu za kazi. hata hicho kikao cha nidhamu hakuna lolote. au hiyo kampuni ya ultimate ngereja ndiyo mkurugenzi? hata hivyo sio mstarabu pamoja na cheo chake. Ngoja cheo kitabaki tu. nitamshauri mnaku aende kwetu swanga.......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.