Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,019
- 580
Hapa ndo nimeamini kua kua na pingu si kosa kisheria!! maana kama ingekua kosa wangeliunganisha hapa!! kwa hiyo ishu ya pingu hakuna hoja ya msingi!!
Makosa mengine polisi wanasoma upepo wajue mahali pa kuchomekea ili kumshikisha adabu Muro, sio kwa sababu ana makosa bali wanamchomekea.
Leka