Fikra zao.. Salam uzaa uhusiano na wao kutokana na ubaya wao wanahis ni chombo cha kutumiwa na kuachwa na sio kwa uhusiano wa kudumu.. Nahisi ndio maana wanajiami kwa kuuongezea umbuzi kwenye sura zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za jioni.. Ninamtoto wa kike miez 11, tatizo mtoto huyu anakula sana nguo.. Yaani akiona nguo umeivaa au ipo mahali popote anaitafuna .. Hii husababishwa na nini? Au ni hali ya ukuaji kwa mtoto
Jaman mie naomben ushaur.... Sim yangu ya tecno j7 inasumbua sana kwenye kucharg... Badala ya kujaa wakat nacharg yenyewe inanyonya hadi inafikia hatua ya kushundwa kuwaka... Nishanunua charg hadi nimechoka sijaona mabadiliko. Ushaur wenu tafadhali
iyo ni moja ya madhara ya kuroot.. mie ilinikuta iyo ikafikia hatua ilibidi niiuze kwa mtu ambaye hana utundu wa simu... tangu siku iyo nimekuwa muoga sana wa kuroot
Daaah!! Hii apps nilikuwa naidharau sana... Nishaitoa mara kibao kwenye cm yangu... Tx guyz.. Mmenifungua leo na nishaiona uzur wake.. Watsapp ikasome kidogo
Mpenzi msomaji, wiki iliyopita niliishia pale Beka alipompagawisha kinoma Manka mpaka binti wa watu akatoa kilio cha raha. Je, kilifuatia nini? Songa mbele na utamu huuâ¦
Beka hakuishia hapo alizidisha manjonjo yaliyomuacha hoi Manka aliyeamua kujibu mashambulizi na mwishowe wote walijikuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.