Recent content by emberegenyi

  1. E

    Fahamu virefu vya baadhi ya maneno yaliyofupishwa

    AKA. Also Known As
  2. E

    Nawakumbusha tu ni kitabu kipi ulikua unakipenda kati ya hivi?

    Kwa kweli hamvijui vitabu. Ninyi nyote ni Wa Jana. Kuna vitabu kama Hanahela., Hadithi za babu zetu Wa Tanganyika, Robinson Crusoe, Hadithi na vitendo, Machimbo ya mfalme Sulemani na vingine vingi.
  3. E

    Tazama video za youtube bila kuwasha data ( working 100%)

    Why not save the video off line? You can watch it without having any MBs
  4. E

    Wrong parking mjini Arusha kero

    Parking zenyewe ni za shida. Wamachinga , mama ntilie na wamama wauza mbogamboga wamechukua sehemu zote za maegesho ya magari lakini hawakamatwi.
  5. E

    Nahisi Diamond na Kiba wametuchezea mind game

    OK Kmko.momoonkk.moiii
  6. E

    Chemsha bongo: Thibitisha hapa kuwa wewe una vyeti orijino

    BuziTata kwenye hiyo elfu 20000 toa 2000 ambazo mwenye duka alibaki nayo kwenye ile 10000 alyoichukua kwa jirani maana alimpa yule tapeli sh. Elfu nane tu, na yeye akabaki na hiyo 2 000.hivyo hasara ni sh. 18000
  7. E

    Chemsha bongo: Thibitisha hapa kuwa wewe una vyeti orijino

    Jibu elfu 18.mnunuzi kaondoka tu na elfu 8. Thamani ya mkate aliouchukua usiihesabie kwa sababu tayari mwuzaji ameishakata elfu 2 zake na anazo mfukoni mwake. Sasa jumlishia elfu kumi alizotoa tena kwa jirani jumla ni elfu 18
  8. E

    Arusha: Mzungu asajiliwa laini ya simu kwa dollar 1000

    Mimi nadhani mzungu aliulizabei bei ya kusajili akaambiwa one thousand bila kutajiwa ni dola au shilingi. Yeye akajua ni dola. Bei ya kawaida ya kusajili line ni shilingi elfu moja
  9. E

    Bodi ya Kimataifa ya Ushauri kwa Bodi ya Wakurugenzi na Watendaji ya Barrick Corporation Group...

    Sawa mkuu. Na mimi nilikuwa nawashangaa wanaposema kila mtanzania anaweza kununua Noah kwa mgao wa fedha hizo. Tukigawana fedha hizo kila mmoja anapata karibia sh. Milioni mbili tu. Ni hela ya kununulia toyo na siyo Gari.
  10. E

    Ni kitu gani ambacho kiliwahi kukutoa ushamba?

    Nakumbukia nikiwa form one oldmoshi miaka ya sabini, nikaambiwa nizime balbu ya umeme. Nilipuliza kwa mdomo kama nilivyozoea kuzima kibatari.
  11. E

    Hawa wanaitwajwe kwa kiswahili na kidhungu?

    Wanaitwa karunguyeye. Wafaransa wanamwita porcepic
  12. E

    Tupia jina la mwalimu aliyekuwa mnoko shuleni/chuoni kwenu

    Shasha wa old moshi miaka ya sabini
  13. E

    Naibu katibu mkuu wa CCM taifa umetia aibu

    Yaani hata misumarri hakuna? Wanafunga fito kwa kutumia kamba.
Back
Top Bottom