Hawa wanaitwajwe kwa kiswahili na kidhungu?

Hawa wanaitwajwe kwa kiswahili na kidhungu?

huyu mbwa alikuwa anajifunza kuwinda?

Huyo mbwa mmbea, alienda kumpiga chabo nunguboy akiwa anapata mambo kwa wife wake


hawa kalungu yeye kwa imani za kwetu ni kwamba wakija hapo nyumbani wankuletea hela ya hatari na hao nungunungu miiba yake huwa tunaitumia kuweka kwenye mlango ili mwizi asiweze kuingia ndani hii ni kwa mujibu wa mila mbofumbofu

Mkuu hela ya hatari kwa maana ya nyingi au mkosi? Kama vipi nikaishi wanakopatikana ili waniletee mijinoti. Ndio maana kina meku wana majihela
 
Huyo mbwa mmbea, alienda kumpiga chabo nunguboy akiwa anapata mambo kwa wife wake




Mkuu hela ya hatari kwa maana ya nyingi au mkosi? Kama vipi nikaishi wanakopatikana ili waniletee mijinoti. Ndio maana kina meku wana majihela

nyingi ki k yaani
 
Hawa wanapatikana South America sio afrika!!!
Wapo wengi tu hata hapa Tanzania mkuu. Miaka ya 90 kule Ubungo Kibangu kuna wale wawindaji wa kabila la Wapangwa walikuwa wanauza nyama yake.

Mimi nilitengeneza kalamu yangu kwa kutumia mwiba wa nungu nungu.
 
Back
Top Bottom