Nawakumbusha tu ni kitabu kipi ulikua unakipenda kati ya hivi?

canular

JF-Expert Member
Jan 7, 2018
858
812
114e90e29b877deb84d32cf2b0648119.jpg
 
\Nakumbuka Nikiwa darasa la nne nikaanza kuvisoma kwasababau shangazi yangu alikuwa anakaa nyumbani na yupo sec
baada yahapo sikuwahi kuvisoma tena hadi kesho na navikumbuka na mitihani nilivijibia murua sanaaaaaa
Hongera inaoneka uko vizuri kwa kumeza vitabu
 
Hivi vile vitabu vya wakina mzee tola yule bwege fulani aliyekula konokono kwa uchoyo au vile vya mfalme ana mapembe kuna mtu anapicha zake, sijui ilikuwa darasa la 4 vile!
 
Back
Top Bottom