Hongera inaoneka uko vizuri kwa kumeza vitabu\Nakumbuka Nikiwa darasa la nne nikaanza kuvisoma kwasababau shangazi yangu alikuwa anakaa nyumbani na yupo sec
baada yahapo sikuwahi kuvisoma tena hadi kesho na navikumbuka na mitihani nilivijibia murua sanaaaaaa
Sana Mkuu yaani toka niko mdunchu mpaka leo naganga na vitabu yaaniHongera inaoneka uko vizuri kwa kumeza vitabu
ss tulipewa skonga tuvisome...Sjakisoma hicho Mkuu miaka gan hiyo
Kusadikika,hiki kitabu ni balaaSisi wahenga tumesoma KUSADIKIKA, ZAWADI YA USHINDI, WASAKA TONGE, THE RIVER BETWEEN, IS IT POSSIBLE..?
Namkumbuka karama, na majivuno..!Kusadikika,hiki kitabu ni balaa
Kwa kweli hamvijui vitabu. Ninyi nyote ni Wa Jana. Kuna vitabu kama Hanahela., Hadithi za babu zetu Wa Tanganyika, Robinson Crusoe, Hadithi na vitendo, Machimbo ya mfalme Sulemani na vingine vingi.Kusadikika,hiki kitabu ni balaa
vipo mkuu nilifuAtilia nikavikuta japo siyo famous...Itakua vimesha ondolewa mkuu