Recent content by emanuel tony

  1. E

    Airtel Money sasa inanipa mashaka

    mimi leo ni siku ya 10 nimenunua luku sijapata naambiwa ile yako haijatumwa nikiangalia salio ni sh.000 afadhali airtel kuliko vodacom
  2. E

    "Hakuna tofauti ya Mrema wa NCCR na Lowasa wa CHADEMA"

    mmekosa la kuandika nyie
  3. E

    Lowassa amuambia Magufuli: Huwezi pambana na matajiri, hawa ndio wanaoleta viwanda na ajira

    hvi ina maana gani mada iletwe humu ndani watu waanze kumtukana mtu ebu tumieni busara kidogo au hekima kidogo humu ndani sio kila kitu ni ushabiki wa kisiasa toa maoni yenye maana
  4. E

    Lowassa amuambia Magufuli: Huwezi pambana na matajiri, hawa ndio wanaoleta viwanda na ajira

    vizuri mh:lowassa umeongea point itakayosaidia kukuza uchumi wa taifa letu
  5. E

    Arusha halisi ilivyo na watu wake

    [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
  6. E

    Arusha halisi ilivyo na watu wake

    arusha kwel ipo vizuru kimandhari
  7. E

    DAR: RC Makonda atangaza vita dhidi ya mashoga. Atishia kuzifuta asasi zinazowatetea!

    huyo jamaa anapenda kujipendekeza sana ana lolote hayo mambo yalikuwepo na yatazidi kuwepo tu
  8. E

    Wilfred Lwakatare: Afya yangu iko imara

    pole sana kamanda wetu
  9. E

    Kubenea, Mwakyembe kakukosea nini? Mbona unamchafua sana, acha kutumika

    nadhan ww uliyeandika hapa ni mamluki wa mwakyembe kubenea ni tofauti na unavyomsemea
  10. E

    Yaliyojiri wiki ya uzinduzi wa kuboresha usalama wa raia viwanja vya Biafra, Rais Magufuli azungumza

    mbona rais ni dar tu anaonekana na mwanza mbona aendi mikoa mingine?
  11. E

    Hatma ya Muungano: Wazanzibari wadai kura ya Maoni

    tanganyika inawauniza sana waznzbr kila kitu kinafanyika hapo dodoma kwann?imefika wakati tujiulize tulitoka wapi na tupo wapi na tunakwenda wapi
Back
Top Bottom