Wilfred Lwakatare: Afya yangu iko imara

Wilfred Lwakatare: Afya yangu iko imara

Kweli mtu akipenda chongo huliita kengeza. Post imetumwa kwa verified user ID na bado aliyetuma akaambatanisha picha yake ya leoleo. Lakini bado 'Genius wetu' unahoji kuwa siye?!

Ungepewa kulinda kaburi la Yesu, siku alipofufuka ungetangazia ulimwengu kuwa aliyefufuka ni kaburi na si Yesu!
Lizaboni anasumbuliwa na UZEZETA
 
Bora umejitokeza kamanda, ugua pole.

Sasa hilo shoga lizushi la songea liso haya ndilo litapelekwa ICU lenyewe na uzushi wake, naona hata kinyaa kumtag
 
Ugua Pole Kamanda...!

Kwa kiasi kikubwa au asilimia kubwa aliyosema Lizaboni ni sahihi

Kwamba ni kweli umeumwa na kulazwa.

Kwamba Ukiondoa mama Tibaijuka hakuna kiongozi mwingine aliyekuja kukufariji kiasi cha kumtaja kwa jina.

Nadhani la msingi hapa ni wewe kuwa mwenye afya njema haya mengine ni siasa lakini zenye umuhimu wake wa kipekee.

Bado hatujaclear doubt ya kama anayepost humu ni wewe au kijana wako.

Pole sana Lwaks
Teh teh teh nimeshindwa hata cha kusema.
Cc. Aione Lizaboni wa JF kwa utekelezaji
 
Bahati nzuri leo tunayo case nzuri ya uhalali wa Press Release naomba niitumie. Kuna Press Release inazunguka kwenye mitandao toka asubuhi ikiwa na jina na namba ya simu ya Mnyika. Hiyo release tayari Mnyika ameikana kuwa si yake. Kwa muktadha wa ushahidi wa hoja yako unataka kutuaminisha kuwa Mnyika kajikana na hiyo release ni halali au kwa ufupi inatoka kwake?

Si vibaya nikufahamishe kuwa nilisoma comments zote na si post ya @Lizabon pekee kama unavyofikiri!
Mnyika hajakanusha. Amekanusha simbeye katibu mwenezi Bavicha. Usipotoshe umma
 
Fisadi Lowasa alikutembelea au hata tu kukupigia simu? Na ni viongozi wepi hao wa chadema waliokutembelea kwa maana mama Tiba umemtaja kwa jina ila wale wa chadema umegoma kuwataja, kwa nini?
Hata hivyo ugua pole huu ndiyo wkt wa kumjua rafiki na chama cha kiutu, nina uhakika watu wanaopenda kiki za media wa chama chako kama Domo kaya hakuja kukuona kwa maana kulikuwa hakuna tv wala magazeti!
Hawa ndio waliobaki kwenye chama cha mapinduzi.
 
Pole sana na karibia tena uwanja Wa vita.

Mapambano yanaendelea
 
Kumbe umeshatibiwa na sasa upo Kimara stop over....kwa hiyo wale Wapiga kura wapande Fwast Jet wakuje Kimara stop over?
 
Mnyika hajakanusha. Amekanusha simbeye katibu mwenezi Bavicha. Usipotoshe umma
95a8d1bf3e6dfac5c65210bba7211311.jpg

Yawezekana ni kweli sijui kutofautisha kati ya nukuu na taarifa, nafsi ya kwanza na ya tatu! Nisaidie kujua hiyo screenshot ya tweet ni nukuu au taarifa. Na jibu lolote utakalonipa nisaidie pia kujua chanzo cha kauli ni nani?

Asante!
 
Tumshukuru Mola kwa hilo na akuzidishie baraka zake
 
95a8d1bf3e6dfac5c65210bba7211311.jpg

Yawezekana ni kweli sijui kutofautisha kati ya nukuu na taarifa, nafsi ya kwanza na ya tatu! Nisaidie kujua hiyo screenshot ya tweet ni nukuu au taarifa. Na jibu lolote utakalonipa nisaidie pia kujua chanzo cha kauli ni nani?

Asante!
Sasa chadema wame mnukuu mnyika kutoka wapi?
 
Back
Top Bottom