THE LIST Uko vizuri!
Wakati naendelea kusoma uzi wako Nimejikuta
Navutiwa kusoma zaid masuala ya Uchumi...
Hakakika ningekutana na vichwa vitatu tu.. Vyenye mawazo kama yako, na baada ya hapo vikanipa dozi kama hiyo kutwa mara moja tu.... Ndani ya siku 5 ningekuwa mbali sana!
Barikiwa sana mkuu!
Wakuu poleni na majukumu mbalimbali.
kwanza kabisa niombe radhi kwa kuwasumbua kuuliza swali hili tena, kwani imenilazimu kufanya hivo kwasababu zamani kidogo tuliwahi kulijadili ila lilikuwa kwa namna ya tofauti kidogo! ila kwa leo nimeshikwa koo!
swali:
Inawezekana kusoma certificate ya IT...
Mkuu vituo vya Polisi vilikuwa wazi 24x7,kilicho badirisha mfumo nzima siku za karibuni kilitokana na uvamizi wa magaidi walio uua Polisi,Raia na kuiba silaha katika kituo cha SITAKISHARI, mkuu kumbuka Polisi nao ni binadamu,sasa unafikiri baada ya tukio hilo la kigaidi vituo vya Polisi...
Jaman tukiachana na yote Vitambi dili coz vinaleta heshima na kuaminiwa...
Unaweza kukopa kitu kidogo ukanyimwa wewe usiye na kitambi lakin mwenye kitambi akakopeshwa....
7bu wengi wanaamin mtu mwenye kitambi pesa ndo mahali pake...
Tujitahid kuwa navyo kwa malengo ila...
Ulichozungumza yaweza kuwa kweli kiasi flan..
Lkn tutafanyeje .... Hakuna anaependa kuharibikiwa na kuaribu malengo yake...
Mi huwa nafurahia na nakuwa na ham ya love 7bu nakuwa nna uhakika kuwa nko salama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.