Programming Language ipi ni nzuri ?

Programming Language ipi ni nzuri ?

Katika karne hii Na ijayo Tukizungumzia hasa katika maswala ya Technologia ama Utandawazi Nimeona nizungumzie Baadhi ya programming language unazoweza kusoma kwa karne hii

1= C/C++
Hii hutumika sana katika kutengeneza GAME mbalimbali

Hii itasaidia sana kukuingizia kipato coz watu wengi hupenda sana kucheza Games haijalishi ni mtoto au mkubwa.

2=JAVA
Hii hutumika hasa katika kutengeneza Apps Mbalimbali za Android.Hii pia itakusaidia kukuingizia kipato. Ila hata C hutengeneza Apps japo hasa ni za IOS

hayo ni mawazo Yangu tu kama kuna mwenye wazo anaweza changia.

Ahsanteni.
day huyu jamaa buana nkajua anatushushia heavy-duty
 
Yote inategemea unataka ku achive nini! ila naungana na wewe python ni lugha rafiki kwa beginners haina complications kama c++, java n.k
Language nyingi syntax zinafanana so chagua moja ukijua basi rahisi kujifunza nyingine ila kama unataka kuwa deep c/c++ nzuri
 
umesahau php na html

Html inatengeneza app gani?
HTML sio computer programming language its a markup language.

Sijajua mnaposema "app" mnamaanisha nini ila html haitumiki huko yenyewe inatumika kutengeneza framework au skeleton ya website then css na javascript ndio zinakuja kuiremba na kuweka muonekano mzuri wa website!!

Hamna website inayotengezwa bila html!!
 
Siku hizi HTML5 na AngularJS zinatumika kutengeneza mobile apps kupitia Ionic framework
HTML sio computer programming language its a markup language.

Sijajua mnaposema "app" mnamaanisha nini ila html haitumiki huko yenyewe inatumika kutengeneza framework au skeleton ya website then css na javascript ndio zinakuja kuiremba na kuweka muonekano mzuri wa website!!

Hamna website inayotengezwa bila html!!
 
Siku hizi HTML5 na AngularJS zinatumika kutengeneza mobile apps kupitia Ionic framework
Nimekupata mkuu na niliposema html nilimaanisha versions zake zote...!!

All in all japo JS (even python) inaweza tengeneza mob apps ila the right and efficient tools for mobile apps development ni java ikifwatiwa na kotline may be na C++na C sharp!!
 
da wadau mmeiva kwenye IT hadi raha sio kila siku ku discuss mapenzi
 
Php iko sana katika web and web apps development! Kama ni mpenzi wa web development endelea na php na wakati unasoma php unganisha na mysql itakua njema!! Usianze php then uende java au any other language....maliza na uifanyie mazoezi php ukiwa fresh ndio uendelee na language ingine!!!
 
Back
Top Bottom