Habari MTANZANIA, Naitwa Edward Ngoyai Lowassa, nagombea urais kupitia CHADEMA chini ya mwavuli wa UKAWA. Nina nia na dhamira ya kweli ya kuibadilisha nchi yetu. Uwezo ninao na rasilimali tele zipo! Hakuna sababu ya watu wetu kuwa masikini kiasi hiki kwan utajiri wa nchi hii ni wetu wote...
FINDINGS ZA TWAWEZA ZINA UKAKASI.
Na Malisa GJ,
-Watu waliohojiwa ni 1,848.
- Idadi ya wapiga kura mil.24
- Wastani 1:14,000
-Yani mtu mmoja anawakilisha maoni ya wapiga kura 14,000.
KASORO: Twaweza wameonesha hawapo serious. Huwezi kutumia sample size ya watu elfu moja kuwakilisha maoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.