maryedow
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 257
- 88
Katika hali ya kustaajabisha jana nimeona vijana wakiwa wanazomea msafara wa mgombea wa ccm huku wakisema wanataka mabadiliko na mbaya zaid wakawa wanaimba wanamtaka waziri mkuu aliyefukuzwa kwa wizi wa richmond bwana Lowassa nilipata wakati mgumu kuamini kama hawa vijana kweli ni akili zao baadaye ikanilazimu niwatafute mmoja mmoja na kuwauliza na majibu waliyoto ni kuwa walikuwa wameandaliwa na Gwiji wa maigizo huko mbeya ili watimize adhima hiyo ndiyo maana nasema wakati ccm inachanja mbuga kuzisaka kura kwa wananchi wenzangu chadema wanakodi watu kwa kuwanunulia viroba ili wanywe na wamzomee Magufuli kwa lengo la kumfarahisha lowassa lakini katu asilani nawaambieni hata 2010 mbeya walimzome JK lakin leo hii ndio rais wetu kwa hiyo vijana ni vyema mkaacha kutumiwa kama kondomu na kutwa mara tu baada ya mtu kukidhi haja zake