Boss imagine akiiba mahali kisha wananchi wenye hasira kali wampige mpaka afe. Imagine hizo lawama utakazopata. Tafakari haya maneno yangu kisha mrudishe huyo mtoto ulipomtoa . Narudia tena mrudishe mapema ikiwezekana leo.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Nunua Stable coin zako kama USDT na TERA UST kisha zitunze kwenye wallet yako yoyote Hot ama Cold . Kisha baki na Recovery phrase zako. Ukirudi hata miaka mi5 unakuta haijapungua hata mia.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Siyo suala la uafrica ama uzungu ni deficiency ya madini chuma. So jaribu kusupliment uone kama mkeo atakula tena udongo. Nenda hospitali, apime kiwango cha madini chuma kisha apatiwe suppliments.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Siku utapojua kwanini ulizaliwa ndipo utaacha kulalamika na kufanya mambo ya msingi. Dunia haina huruma mdogo wangu usisubiri serikali utazeeka bado unatafuta ajira.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kwanini uhangaike hivo mzee,wakati kuna ABSA, FNB, banc Abc, Equity nk. Unafungua acc , unapata kadi muda huo na siku hiyo hiyo unaanza kufanya online transaction. Achana na hizi benki za mkulima zinqchosha kinoma.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Tafuta kazi ingine mzee, acha kushinda Tamisemi kila mda, utakuwa disappointed vibaya mno jina lako lisipokwepo.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Achana na mashahada , nunua pc yako chagua aina moja ya ujuzi, jifungie kwa mwaka mmoja jinoe vizuri kupitia youtube.
Ukitoka nje uza ujuzi wako tengeneza pesa.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ualimu ni wito, hukujua hilo mapema??
Af niaje we mwalimu hujui hata kuandika??
Unawafundisha manini watoto wetu
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wewe kajifunze kuandika vizuri kwanza, nadhani hii ni sababu ya kufeli unaandika ugoro mwingi, paedric ndo kitu gani??
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.