britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Hivi unaelewa mpaka mtu anaomba MasterCard anakuwa anataka ya nini?Ww ni mshamba we ulitaka upewe card ikiwa tayar imeactivatiwa online banking mm nikipewq io kaz umaskin bye bye laxima uaccept na uactivate mwenyewe sema wabongo washamba
MAELEZO WENGI WANAO OPT KUPATA VISA AU MASTERCARD SIYO WAUZA DAGAA KAMA WEWE HAPO MWANZA WAO WANATAKA HUDUMA HIZI
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
inaweza kukufanya u link na online payments /PayPal/purchases
unaweza lipa Kwa credit/ Debit card whatever Kwa Ku swipe card au Ku weka kwa point of sale machines (P.O.S)
inakuwezesha Ku access huduma za benk husika kwa ATM za benk nyinginezo zenye u shirika na MasterCard
hivo CRDB ukipewa Card hiyo unakuwa umejaza automatic form ya kujiunga na huduma hizo Lakin hawa NMB majanga wanakwambia kila kitu sawa Lakin ukitaka kuitumia inakwambia (Invalid selected services contact your issuing bank) Kwahiyo unaniita mshamba unaweza kuta we ndo mshamba hata nachoandika uelewi upo upo tu!!! Jaribu kwanza kuangalia una temper na nani!!!! Do not temper with barcodes eeee shwain
Am a professional banker pia nimekaa Operations kwa Miaka zaidi ya 8 kabla ya kadi za kileo hadi kadi za kileo hapo awali zikaanza kuingia !! Nimekaa kitengo cha Cards pia !!! Issuing cards !!! Activation and de activation !!! Amount limit setting withdrawal per day Kwa cards nimeziset sana na naweza hata Ku extend kiasi isiwe na limit kipindi hicho!!! Activation of online payment kwenye cards za wateja pia nimefanya najua!! Nimefanya pia Swift issues on money transfer na bank to bank settlement TANZANIA INTERBANK SETTLEMENT SYSTEM (TISS) so unaniitaje mshamba
Britanicca