Macbook pro
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 665
- 902
Habari gani ndugu wanajamvi wezangu.
Ngoja niende kwenye hoja yangu moja kwa moja. Kuna ajira zilitangazwa na wizara na Afya, watu waliomba ikiwemo mimi mwenyewe. Yapata mwezi mmoja sasa tangu dirisha la kutuma maombi lifungwe, hakuna majina yoyote ya walio chaguliwa.
Anyway mimi niliomba kwenye Afya, sasa kila siku naangalia website za MOH na TAMISEMI sioni kitu au wenzangu nyinyi mmeshajikatia Tamaa au inakuwaje kuwaje aseee.! Daah
Ngoja niende kwenye hoja yangu moja kwa moja. Kuna ajira zilitangazwa na wizara na Afya, watu waliomba ikiwemo mimi mwenyewe. Yapata mwezi mmoja sasa tangu dirisha la kutuma maombi lifungwe, hakuna majina yoyote ya walio chaguliwa.
Anyway mimi niliomba kwenye Afya, sasa kila siku naangalia website za MOH na TAMISEMI sioni kitu au wenzangu nyinyi mmeshajikatia Tamaa au inakuwaje kuwaje aseee.! Daah