Nina kipaji cha uandishi wa nyimbo (Bongofleva, Afrobeat,Amapiano,Gospel,Dancehall n.k.) pamoja na kuimba muziki aina zote na mpaka sasa nishaandika nyimbo takribani 16 za bongo fleva.
Ningepata meneja wa kunisimamia kimuziki na kufadhili gharama za kurekodi nyimbo zangu naamini ningefika mbali...
Nitajie hitsongs 5 za Vanessa Mdee.
Huyu dada anasifiwa sana kuliko uhalisia wa uwezo wake....Alikua msanii wa kawaida sana sema ni kile kiingereza chake tu ndio kilikua kinawababaisha ninyi washamba.
Nipe Elimu mkuu mimi sijuagi kama mwanamke akifika anakuaje maana kwa sisi wanaume ni rahisi maana tunakojoa shahawa....sasa mwanamke Huwa anaonesha dalili gani?
Mie naonaga kama wengi tu ni waigizaji labda angalau ukutane na squirter
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.