Recent content by ELITE POWER

  1. ELITE POWER

    Tangu Vanessa Mdee aache muziki, hakuna mwanamuziki wa kike yeyote aliyeziba pengo lake

    Ukubwa unaanzia ndani kwanza.....huwezi ukawa maarafu overseas wakati nyumbani kwenu haujulikani,...mond ni mkubwa na ukubwa ameupata ndani kwanza
  2. ELITE POWER

    Tangu Vanessa Mdee aache muziki, hakuna mwanamuziki wa kike yeyote aliyeziba pengo lake

    Nitajie hitsongs 5 za Vanessa Mdee. Huyu dada anasifiwa sana kuliko uhalisia wa uwezo wake....Alikua msanii wa kawaida sana sema ni kile kiingereza chake tu ndio kilikua kinawababaisha ninyi washamba.
  3. ELITE POWER

    Kutafuta mchamba wa kike ili naye ndoa

    Kwanini hutaki mchumba awe muha wakati wewe mwenyewe ni muha?
  4. ELITE POWER

    Mke wangu simuelewi. Naombeni mawazo yenu

    Nipe Elimu mkuu mimi sijuagi kama mwanamke akifika anakuaje maana kwa sisi wanaume ni rahisi maana tunakojoa shahawa....sasa mwanamke Huwa anaonesha dalili gani? Mie naonaga kama wengi tu ni waigizaji labda angalau ukutane na squirter
  5. ELITE POWER

    Mke wangu simuelewi. Naombeni mawazo yenu

    Huwa unajuaje kama umemfikisha?
  6. ELITE POWER

    Mkishatongozana na kukubaliana,akuna kuoneana hayaa. Marufuku!

    Jifunze kwanza kuandika vizuri. Mwandiko wako unatia kinyaa.
  7. ELITE POWER

    GE2025 Yaliyotushinda Gen-X hawa Gen-Z watatutoa Kimasomaso?

    Hakutakua na nywi wala nywinywi..... watanzania waoga sana.
  8. ELITE POWER

    Ni mtu gani maarufu anaekujia akilini ukiona hii Picha

    Politics - Tundu Lissu Football -Messi Entertainment -DiamondPlatnumz Comedy- Mr. Bean Pumbuminyaling- M.afwele
  9. ELITE POWER

    Niulize chochote kuhusu Kilimanjaro

    Hizi nyuzi za kubaguana kiukanda ndo tulishazikataa....acheni mambo ya kibaguzi ninyi wapuuzi.
  10. ELITE POWER

    KLM Royal Dutch Airlines: Bonge la ndege

    JF bhana....kila mtu kapanda ndege tena mashirika makubwa ya maana 😂 😂
  11. ELITE POWER

    Ananilaumu sana na sijui kosa langu ni lipi!

    Bogi jipya la "fwomu sikisi livazi" lipo mtaani tayari. Taabu kweli kweli.
  12. ELITE POWER

    Assistant Finance Manager at BRAC

    Mbona hujataja mshahara wa hiyo kazi?
Back
Top Bottom