Bro acha kutumia hiyo dawa. Iko sawa na finasteride. Itakufanya upoteze nguvu zako kabisa!!
Suluhisho la nywele kurudi nyuma ina neno la kisayansi.
Inaitwa Energetic Alopecia.
Kwa lugha rahisi. Ukitaka nywele zako zirudi kama zamani fanya haya:
1. Hakikisha unapunguza muda unaotumia kwenye simu mida ya usiku. Mwanga wa blue wa simu ndio changamoto nzima inaanza hapo.
2. Hakikisha kila siku unalala saa 4 kamili usiku. Nywele huwa zinaota kuanzia 10pm - 2am. Ukikosa hii window sahau nywele kurudi.
3. Hakikisha unaacha kula vyakula vya wanga. Mfano wali. Ugali. Chapati. Maandazi. Chakula chako kiwe NYAMA. SAMAKI. na MATUNDA.
4. Hakikisha JUA La asubuhi (dk 30) Jua la mchana (dk45) na Jua la jioni (30mins) linagonga macho na kichwa KILA SIKU.
5. Usivae KOFIA ya aina yeyote
6. Ondoa simu zote. Na vifaa vya Elekroniki chumbani kwako wakati unaenda kulala usiku
7. Tumia filter NYEKUNDU kwenye simu. Google jinsi ya kubadilisha kioo cha simu kuwa na filter nyekundu.
8. Ukienda kulala usiku hakikisha TAA zote za nyumba umezima. GIZA liwe nene tii.
9. Usivae KOFIA mida ya mchana
10. Ingia Twitter/X alafu search Bowtiedbiohacker. Ingia kwenye ukurasa wake andika Energetic alopceia. Fuata anachosema.
- Suluhisho ni kuhakikisha JUA linagonga kichwa Asubuhi, Mchana, Na Jioni.
- Badilisha mfumo wa chakula unaokula kila siku
- Hakikisha unazima taa zote nyumbani mida ya usiku
- Ondoa vifaa vyote vya elektroniki unapoenda kulala usiku
- Sahau kabisa kutumia simu au laptop baada ya saa 4 usiku
Ukitekeleza YOTE yalioandikwa hapo juu.
Nywele zitarudi ndani ya miezi 6.
Goodluck!!