Watanzania wengi hawapendi mafunzo kabisa 😂😂basi nendeni kwenye comment za wenzetu abroad people wants exsperience but you guys ni kukosoana hamna maelekezo mazuri kwani mkisema na mnayoyajuwa nyie tukajuwa, tukashare idea, tukacheka kidogo, whats wrong with it😂
Kwasababu hujui ni nani ni adui, wewe unahisi huna adui lakini huwezi kupendwa na kila mtu, ukiwaambia watajuwa kuwa wewe unafahamu wanachofanya kila watatumia njia nyingine,yatakusanywa majeshi unaweza kupambana nayo??
Ndoto hii inamaanisha kuna mtu anakuchezea anakuzuia usipate kile una kitaka kujisikia mnyonge ni kukaya tamaa ya kuendelea kutaka kile ulichokuwa unataka, kubali mwenyewe darasani ina maanisha wenzako wote wanafaulu ila wewe utabaki darasa hilo hilo inamaanisha hautofanikiwa zaidi ya hapo...
Ndiyo hiyo inamaanisha watu ulioishi nawo wanakwazika kwa kitendo cha wewe kuishi maisha yako mengine kwani yanayofanyika ndani ya familia ni mambo mengi sana, sali sana MUNGU ALIYE HAI AKITOE MAZINGIRA HAYO NA AKULETE MAZINGIRA YA SASA Keanu ukiota hivyo humaanisha utarudi nyuma kimaisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.