Recent content by elijaah

  1. E

    JamiiForums Tanzania Mbunge Simai: Serikalini kuna Yuda, huko nyuma amewahi kutajwa ni mzigo, amewaumiza watu wengi

    Sio kumjibu tu na alijiuluzu uwazir wa utalii kule Zanzibar
  2. E

    JamiiForums Tanzania Ukifanya Masihara Unaweza Kufa Ukawaacha

    Dr Janabi aliwahi kusema watu hawafi kw sababu ya kuzeeka wanakufa kwa sababu ya ugonjwa Yule mzee nilikua nikimpuuza kw ushar wake ila kwa sasa namufuata kw kiasi kikubwaa. Kuitunza afya yako ni jambo muhim sana katika hii dunia kuliko kitu chochote kile Lakin kw masikini kama sisi...
  3. E

    JamiiForums Tanzania Tangazo la kazi

    Yapo kwenye tangazo apo mkuu
  4. E

    JamiiForums Tanzania Tangazo la kazi

    Hapana mkuu sio sisi kwetu hatukanwi wala kuabishwa mtu Na ni makosa makubwa kumtukana mteja.
  5. E

    JamiiForums Tanzania Tangazo la kazi

    Location Zanzibar, Pemba
  6. E

    JamiiForums Tanzania Trump awe makini sana ipo siku ataliwa kichwa sababu ya majivuno

    Sasa kwa umri ule ana cha kuhofia kweli ?
  7. E

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyokosa mkopo wa Tsh. Bilioni 3 benki na niliyojifunza

    Halaf mnadharau mkiona watu wana maden kumbe kuna watu lukuki hawana sifa za kudaiwa yaan hawana sifa za kukopeshwa fedha
  8. E

    JamiiForums Tanzania Pole sana Tanganyika

    Ndio Zanzibar wana Mamlaka yao inayosimamia nishati inaitwa (ZURA)
  9. E

    JamiiForums Tanzania Pole sana Tanganyika

    Yatapanda pia ni suala la mda tu Zanzibar kila tarehe 9 ndo wanakua na mabadiliko ya bei
  10. E

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi kwenye company ya microfinance

    Habar wanahitajika vijana 2 wa kufanya kazi katika company ya kukopesha hela wa kike 1 na wa kiume 1, umri wasizidi miaka 24 Kituo cha kazi ni Zanzibar (Pemba) Mshahara ni 170k kwe mwez na posho ya 5k kila siku. Sehem ya malazi kw watumishi ipo. Kwa mawasilano zaid njoo Dm
  11. E

    JamiiForums Tanzania Muongozo Wa Biashara ya microfinance

    Tunamwaga vipeperushi mtaani vya kutosha na kabla mteja hajapewa hela anaenda kukaguliwa biashar anayofanya kutathmini kama atawez kurudisha mkopo anaopewa baada ya apo hupewa mkopo na kw mteja mpy lazma azie kias 300k akirejesh vzr bila ya kusua sua anapanda kw 200k
  12. E

    JamiiForums Tanzania Muongozo Wa Biashara ya microfinance

    Wateja wetu ni wafanya biashar wadog na wakati tunagawa hela kw marejesho ya week kwa mda wa week 6 mkopo ukizidi m1+ marejesh yake ni kw week 8
  13. E

    JamiiForums Tanzania Muongozo Wa Biashara ya microfinance

    Mtaji tulioanza nao ni M12 tu Tulianza na ofisi 2 kwa pmj kesho tunafungua nyengine ya 3 ndo inakamlisha hao wafanyakaz jumla wanakua 7 Iyo ya 3 mtaji wake unatoka nje ya izo m2 na tumeiwekea mtaji wa milion 3 kwa kuanzia
  14. E

    JamiiForums Tanzania Muongozo Wa Biashara ya microfinance

    Mim tyr nimeanzisha hii biashara nina miezi 2 kwa sasa namshukur M/Mungu inaenda vzr sana mpka sasa nimefanikiwa kufungua ofisi 2 zikiwa na jumla ya wafanya kazi 7
Back
Top Bottom