Ulevi na bangi mnavisingizia tu ila ajali nyingi zinasababishwa na uzembe wa madereva vijana wengi wanajifundisha piki piki ukubwani wana ulimbukeni navyo kwa nin visiwatoe roho?
Dr Janabi aliwahi kusema watu hawafi kw sababu ya kuzeeka wanakufa kwa sababu ya ugonjwa
Yule mzee nilikua nikimpuuza kw ushar wake ila kwa sasa namufuata kw kiasi kikubwaa.
Kuitunza afya yako ni jambo muhim sana katika hii dunia kuliko kitu chochote kile
Lakin kw masikini kama sisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.