Recent content by elijaah

  1. E

    JamiiForums Tanzania Baada ya Emmanuel Nchimbi sasa ni zamu ya Mwigulu Nchemba

    Ata kw nchimbi ilianzaga ivi ivi kimasihara masihara tu kilichotokea saiv sote tumeona subir tuone ili la Muigulu litaishia wapi
  2. E

    JamiiForums Tanzania FT: Mighty Wanderers 0-1 Simba SC | CAFCL-1st Leg | Wakali wa Kimataifa wafanya kweli | 06.09.2026

    Pigaa makolo utosini bado wanapumua
  3. E

    JamiiForums Tanzania Wanawake wakiolewa na kuzoea ndoa wanakuwa na jeuri

    Me nilidhan hii ni kw wanawake wa kizanzaibar t kumbe mpk mainland ?
  4. E

    JamiiForums Tanzania Msiogope, Majanga ya NEPAL hayawezi kutokea Tanzania

    Daah kule Nepal sio poa wakuu ni kama hapakua na mkaazi ya watu kilichobakia hivi sas ni huzuni tupu
  5. E

    JamiiForums Tanzania Tetesi kuhusu makamu wa rais mfukuzwa Nchimbi hayupo Tanzania

    Mwenge ndo uwo uwo na mara hii mwezi wa 4 umeanza kuwashwa pemba nakuzunguka mikoa mengine mpaka ivi sasa haujamaliza mizunguko
  6. E

    JamiiForums Tanzania Tunda gani ulikuwa unalitamani kutokana na kusifiwa ila baada ya kulionja hulitaki tena?

    Parachichi sijawahi kulielewa kwa kweli Hata juice ya matunda nikikuta imetiwa parachichi tu sinywi
  7. E

    JamiiForums Tanzania Nilivyogundua tu Mwanamke ana gari, nikaona huyu siyo Level zangu

    wachovu ni wapi hao hhhhhhhhhh
  8. E

    JamiiForums Tanzania Kitendo cha Vodacom na Airtel kuuza namba zetu za zamani ni hatari kwa usalama wetu wa kifedha na kijamii

    Itie mkopo wa ata wa buku tu itakaa miaka 100 haifungwi wala kuuziwa mtu mwengine
  9. E

    JamiiForums Tanzania Shida ni Pikipiki au Udereva?

    Ulevi na bangi mnavisingizia tu ila ajali nyingi zinasababishwa na uzembe wa madereva vijana wengi wanajifundisha piki piki ukubwani wana ulimbukeni navyo kwa nin visiwatoe roho?
  10. E

    JamiiForums Tanzania Mbunge Simai: Serikalini kuna Yuda, huko nyuma amewahi kutajwa ni mzigo, amewaumiza watu wengi

    Sio kumjibu tu na alijiuluzu uwazir wa utalii kule Zanzibar
  11. E

    JamiiForums Tanzania Ukifanya Masihara Unaweza Kufa Ukawaacha

    Dr Janabi aliwahi kusema watu hawafi kw sababu ya kuzeeka wanakufa kwa sababu ya ugonjwa Yule mzee nilikua nikimpuuza kw ushar wake ila kwa sasa namufuata kw kiasi kikubwaa. Kuitunza afya yako ni jambo muhim sana katika hii dunia kuliko kitu chochote kile Lakin kw masikini kama sisi...
  12. E

    JamiiForums Tanzania Tangazo la kazi

    Yapo kwenye tangazo apo mkuu
  13. E

    JamiiForums Tanzania Tangazo la kazi

    Hapana mkuu sio sisi kwetu hatukanwi wala kuabishwa mtu Na ni makosa makubwa kumtukana mteja.
  14. E

    JamiiForums Tanzania Tangazo la kazi

    Location Zanzibar, Pemba
Back
Top Bottom