Dr Janabi aliwahi kusema watu hawafi kw sababu ya kuzeeka wanakufa kwa sababu ya ugonjwa
Yule mzee nilikua nikimpuuza kw ushar wake ila kwa sasa namufuata kw kiasi kikubwaa.
Kuitunza afya yako ni jambo muhim sana katika hii dunia kuliko kitu chochote kile
Lakin kw masikini kama sisi...
Habar wanahitajika vijana 2 wa kufanya kazi katika company ya kukopesha hela wa kike 1 na wa kiume 1, umri wasizidi miaka 24
Kituo cha kazi ni Zanzibar (Pemba)
Mshahara ni 170k kwe mwez na posho ya 5k kila siku.
Sehem ya malazi kw watumishi ipo.
Kwa mawasilano zaid njoo Dm
Tunamwaga vipeperushi mtaani vya kutosha na kabla mteja hajapewa hela anaenda kukaguliwa biashar anayofanya kutathmini kama atawez kurudisha mkopo anaopewa baada ya apo hupewa mkopo na
kw mteja mpy lazma azie kias 300k akirejesh vzr bila ya kusua sua anapanda kw 200k
Mtaji tulioanza nao ni M12 tu
Tulianza na ofisi 2 kwa pmj
kesho tunafungua nyengine ya 3 ndo inakamlisha hao wafanyakaz jumla wanakua 7
Iyo ya 3 mtaji wake unatoka nje ya izo m2 na tumeiwekea mtaji wa milion 3 kwa kuanzia
Mim tyr nimeanzisha hii biashara nina miezi 2 kwa sasa namshukur M/Mungu inaenda vzr sana mpka sasa nimefanikiwa kufungua ofisi 2 zikiwa na jumla ya wafanya kazi 7
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.