Shida ni Pikipiki au Udereva?

Shida ni Pikipiki au Udereva?

boda ina hatari sana.. mpo road gari zinakimbia balaa.. barabara finyu plus mashimo kibao na hapo helmet nzuri ya kueleweka hamna kichwani.. kuendesha boda inahitaji uwe na reflex za kutosha.
 
Vifo ni vingi sana vya madereva wa bodaboda, ulemavu daah

Nishawahi kupokea sim kwa wazee wangu wakiniomba kama nitakosa kazi kwenye mihamgaiko yangu nisifanye shughuli za boda ni upendo wao tu nafikiri baada ya kuona ajali imetokea barabarani
 
Hmm
F412A5AB-B636-4C9E-AC9F-51229B283647.jpeg
 
Udereva: motorist wengi wanaendesha kihuni kwa kutozingatia alama yoyote ya barabarani. Pia wanafanya wana haraka kuliko watumiaji wengine wote wa barabara na wanataka wawe wa kwanza kana kwamba kuna mashindano.

Dharau kati ya motorist na drivers: wenye magari wanawaona motorists kama adui na kutojali uwepo wao barabarani.

Miundo mbinu: Barabara zetu nyingi ni nyembamba sana na hazina sehemu ya waendesha pikipiki na waenda kwa miguu, kama zipo basi zimejaa mashimo na ni nyembamba sana.

Madereva wengi wanajifunza udereva wa kuwasha, ingiza gia na kutembea bila kusoma alama za barabarani na tahadhari zingine muhimu.

Pombe na bangi pia vina mchango mkubwa katika ajali hizi.
Sahihi kabisa. Asilimia kubwa hawajaenda shule ya driving hivyo hizo alama na sheria za barabarani hawazizingatii kwakuwa hawazijui.

Ukikutana na dereva mzuri boda haina shida shida utaletewa na watumiaji wengine wa barabara wasiokuwa na elimu ya usalama barabarani.
 
Ulevi na bangi mnavisingizia tu ila ajali nyingi zinasababishwa na uzembe wa madereva vijana wengi wanajifundisha piki piki ukubwani wana ulimbukeni navyo kwa nin visiwatoe roho?
 
Back
Top Bottom