Ukifanya Masihara Unaweza Kufa Ukawaacha

Ukifanya Masihara Unaweza Kufa Ukawaacha

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
24,801
Reaction score
60,643
Kuna watu duniani ambao ni kama walikuwapo kabla yako kuzaliwa, upo nao mpaka leo, halafu unajiuliza hawa watu wanaishi maisha gani? Unaweza kuzaliwa ukawakuta kina George W. Bush, Bill Gates, Vladimir Putin, bado wanaonekana kwenye habari, mikutano, interviews na dunia inaendelea kuwazungumzia.

Mpaka wakati mwingine unafanya masihara ukisema “hawa watu hawafi?” kwa sababu miaka inaenda lakini bado wapo kwenye mfumo wa dunia. Wewe unazeeka, wengine wanaondoka, viongozi wanabadilika, trend zinabadilika, lakini kuna majina yanaendelea kuwepo tu.

Inaonyesha jinsi gani nguvu ya fedha, afya bora, teknolojia, ulinzi, na mifumo ya mataifa makubwa vinavyoweza kufanya baadhi ya watu waonekane kama sehemu ya kudumu ya dunia. Watu hawa wana access ya hospitali bora, maisha yenye uangalizi mkubwa, lishe, security, na mazingira tofauti kabisa na watu wengi duniani.

Na wakati mwingine unaweza hata kufikiria:

“Huenda nikafa mimi kwanza kabla ya hawa watu niliowakuta tangu utoto
 
US Life expectancy ni miaka 79, Tanzania ni miaka 67.
kwa hiyo mkuu miaka 20 ijayo 50% wafuatao watakuwa wamekufa
Donald Trump
Vladimir Putin
Xi Jinping
Narendra Modi
Recep Tayyip Erdoğan
Bill Clinton
George W. Bush
Barack Obama
Bill Gates
Warren Buffett
Jeff Bezos
Elon Musk
Tom Cruise
Leonardo DiCaprio
Denzel Washington
Morgan Freeman
Sylvester Stallone
Arnold Schwarzenegger
Jackie Chan
Madonna
Beyoncé
Jay-Z
Dr. Dre
Snoop Dogg
Eminem
Paul McCartney
Mick Jagger
 
Juzi mama yangu alisema huyu Netanyahu tangu wadogo tunamsikia baba anamuongelea Netanyahu Netanyahu.

Nikafurahi kwasababu alinipa uthibitisho kuwa kweli:

"Nawaambieni kweli, kizazi hiki hakitapita kabla ya mambo hayo yote kutukia."
Mathayo.24.34.BHN



Kile kizazi cha mwisho tunachokihesabu hakijafika miaka 80:

× The Nation of Israel is back.

× The nations that will attack Israel and fulfil the long prophecied Ezekiel 38 war that will bring THE LORD JESUS back are aligning

× The Digital ID has been officially enrolled in the UK (Alama ya Mpinga Kristo coming up)

× Homosexuality and Lawlessness (eg. The Epstein Files, Kataa Ndoa) is rampant like in Sodom and Gomorrah.

× Christians Massacred in different countries.

× Uchumi umekuwa mgumu duniani like never before.

× Tafuta Pesa is the motto

× Watu wengi zaidi wamekana Mungu

× Alien
files released (are we being prepared for the Great Delusion that JESUS warned us about? Will we witness fallen angels masquerading as creatures from outer space?)

× Magonjwa mapya

× Manabii na walimu wa uongo kama wote

× The Gospel is preached worldwide

× Wars - Nations against Nations, Kingdom against Kingdom (Kingdom of Light vs The Kingdom of Darkness)

× Wayahudi wanaamini Masihi amekaribia, wasijue ni yule waliyemchoma miaka 2000 iliyopita


View: https://youtube.com/shorts/4N97m8E5r0s?si=lgcOywXq69hdCEXN


View: https://youtube.com/shorts/b_95TsMeknE?si=AuBMhqoVRCQDCZpH

And things are going very fast, everything aligning just as prophecied.

"Akajibu, “Danieli, nenda zako, kwa sababu maneno haya yamefungwa na kutiwa muhuri hadi wakati wa mwisho.

Wengi watatakaswa, na kuondolewa mawaa na kufanywa safi, lakini waovu wataendelea kuwa waovu. Hakuna mmoja wa waovu atakayefahamu, lakini wale wenye hekima watafahamu.

Daniel.12.9-10.NENO
 
Kuna watu duniani ambao ni kama walikuwapo kabla yako kuzaliwa, upo nao mpaka leo, halafu unajiuliza hawa watu wanaishi maisha gani? Unaweza kuzaliwa ukawakuta kina George W. Bush, Bill Gates, Vladimir Putin, bado wanaonekana kwenye habari, mikutano, interviews na dunia inaendelea kuwazungumzia.

Mpaka wakati mwingine unafanya masihara ukisema “hawa watu hawafi?” kwa sababu miaka inaenda lakini bado wapo kwenye mfumo wa dunia. Wewe unazeeka, wengine wanaondoka, viongozi wanabadilika, trend zinabadilika, lakini kuna majina yanaendelea kuwepo tu.

Inaonyesha jinsi gani nguvu ya fedha, afya bora, teknolojia, ulinzi, na mifumo ya mataifa makubwa vinavyoweza kufanya baadhi ya watu waonekane kama sehemu ya kudumu ya dunia. Watu hawa wana access ya hospitali bora, maisha yenye uangalizi mkubwa, lishe, security, na mazingira tofauti kabisa na watu wengi duniani.

Na wakati mwingine unaweza hata kufikiria:

“Huenda nikafa mimi kwanza kabla ya hawa watu niliowakuta tangu utoto
Vengu mbishi sana kakomaa kagoma kufa. Kina Mpoki, Masanja na Joti wamejaribu kumtoa kafara mwamba kagoma kabisa kufa.
 
Kuna watu duniani ambao ni kama walikuwapo kabla yako kuzaliwa, upo nao mpaka leo, halafu unajiuliza hawa watu wanaishi maisha gani? Unaweza kuzaliwa ukawakuta kina George W. Bush, Bill Gates, Vladimir Putin, bado wanaonekana kwenye habari, mikutano, interviews na dunia inaendelea kuwazungumzia.

Mpaka wakati mwingine unafanya masihara ukisema “hawa watu hawafi?” kwa sababu miaka inaenda lakini bado wapo kwenye mfumo wa dunia. Wewe unazeeka, wengine wanaondoka, viongozi wanabadilika, trend zinabadilika, lakini kuna majina yanaendelea kuwepo tu.

Inaonyesha jinsi gani nguvu ya fedha, afya bora, teknolojia, ulinzi, na mifumo ya mataifa makubwa vinavyoweza kufanya baadhi ya watu waonekane kama sehemu ya kudumu ya dunia. Watu hawa wana access ya hospitali bora, maisha yenye uangalizi mkubwa, lishe, security, na mazingira tofauti kabisa na watu wengi duniani.

Na wakati mwingine unaweza hata kufikiria:

“Huenda nikafa mimi kwanza kabla ya hawa watu niliowakuta tangu utoto
uko sahihi 100 kwa 100 gentleman 🐒
 
kwa hiyo mkuu miaka 20 ijayo 50% wafuatao watakuwa wamekufa
Donald Trump
Vladimir Putin
Xi Jinping
Narendra Modi
Recep Tayyip Erdoğan
Bill Clinton
George W. Bush
Barack Obama
Bill Gates
Warren Buffett
Jeff Bezos
Elon Musk
Tom Cruise
Leonardo DiCaprio
Denzel Washington
Morgan Freeman
Sylvester Stallone
Arnold Schwarzenegger
Jackie Chan
Madonna
Beyoncé
Jay-Z
Dr. Dre
Snoop Dogg
Eminem
Paul McCartney
Mick Jagger
Zingatia neno "wastani",
Steve Jobs alikufa na miaka 56, Michael Jackson alikufa na miaka 50, Paul Allen alikufa na miaka 65, Chadwick Boseman 43, Heath Ledger 28
 
US Life expectancy ni miaka 79, Tanzania ni miaka 67.
Tanzania kwa hawa vijana wa sasa, hata kukatiza 55 ni mbinde, hapo utaona kuna wengi wamezaliwa wakawakuta akina Bush, Bill Gates, King Charles, Putin etc na wakawaacha pia.
Nilichogundua wenzetu wazungu wanazeeka haraka lakini hawafi haraka kama sisi watu weusi. Mzungu wa 40 na mweusi wa 40, mzungu ataonekana mzee zaidi kuliko mweusi kwa muonekano, lakini mweusi ataondoka mapema kabla ya mzungu.
Wazungu kugonga 60 hadi 80 ni kawaida sana.
 
Dr Janabi aliwahi kusema watu hawafi kw sababu ya kuzeeka wanakufa kwa sababu ya ugonjwa

Yule mzee nilikua nikimpuuza kw ushar wake ila kwa sasa namufuata kw kiasi kikubwaa.

Kuitunza afya yako ni jambo muhim sana katika hii dunia kuliko kitu chochote kile

Lakin kw masikini kama sisi kuitunza afya kama huna mpunga wa kueleweka ni jambo gumu sana.
 
Na yeye anashinda kwenye visungura kila siku hakuna mazoezi na kina mwajuma wana mpiga vibomu

Wenzetu wanakula Diet,
Wanafanya mazoezi
Pombe wanazotumia zimethibitishwa
Madawa wanayotumia yamethibitishwa. Hapa bongo ukiumwa wanakuletea muarobaini au mlonge au wakupeleke kwa Samunge

Access na ngono kwa wazungu ni kipengele.

Elimu inawafanya waishi maisha marefu.
 
Kuna watu duniani ambao ni kama walikuwapo kabla yako kuzaliwa, upo nao mpaka leo, halafu unajiuliza hawa watu wanaishi maisha gani? Unaweza kuzaliwa ukawakuta kina George W. Bush, Bill Gates, Vladimir Putin, bado wanaonekana kwenye habari, mikutano, interviews na dunia inaendelea kuwazungumzia.

Mpaka wakati mwingine unafanya masihara ukisema “hawa watu hawafi?” kwa sababu miaka inaenda lakini bado wapo kwenye mfumo wa dunia. Wewe unazeeka, wengine wanaondoka, viongozi wanabadilika, trend zinabadilika, lakini kuna majina yanaendelea kuwepo tu.

Inaonyesha jinsi gani nguvu ya fedha, afya bora, teknolojia, ulinzi, na mifumo ya mataifa makubwa vinavyoweza kufanya baadhi ya watu waonekane kama sehemu ya kudumu ya dunia. Watu hawa wana access ya hospitali bora, maisha yenye uangalizi mkubwa, lishe, security, na mazingira tofauti kabisa na watu wengi duniani.

Na wakati mwingine unaweza hata kufikiria:

“Huenda nikafa mimi kwanza kabla ya hawa watu niliowakuta tangu utoto
Mleta mada ulichoandika ni kama unamtazama baba yako huku unajiuliza huyu alikuwepo na bado anaishi na naweza kumuacha. Nakukumbusha wapo watoto wengi waliowaacha wazazi wao hata babu/bibi zao duniani. Sadly.
 
Back
Top Bottom