By Any-means, usimuambie ChatGPT “Roast Me”!

By Any-means, usimuambie ChatGPT “Roast Me”!

Screenshot_20260430-234846.jpg
 
Kuna kipindi nilikuwa napenda sana kusoma habari za nyota ila mwisho wa siku nikaja kugundua jamaa walizipanga sifa za nyota ambazo kila mtu anazo, kwa mfano utaambiwa wewe unanyota ya punda pia wewe unakiu sana ya mafanikio, sasa swali la kujiuliza ni nani ambaye hana kiu ya mafanikio?

Nimemjaribu huyo AI naona ametembea na sifa zile zile za ujumla ambazo kila mtu anazo.....ni ngumu sana mtu kuweka tabia yake kwa AI mara nying watu huweka vijitabia vya muda mfupi ambavyo huwa havikai sana
Na huo ndo uhalisia mkuu..

ukiangalia apa wote waliotuma screenshort utaona anaanza kwakuwaambia “wanaweka mipango lakn wanachelewa kuitekeleza” na hii kitu ambocho kwa ujumla kinatutokea wengi
 
Yaani AI nayo pia inajifunza, unajua bado AI ni changa Sana yaani Kwa muktadha wa kiraia...AI inajifunza pia kutoka kwetu, inatumia majibu yetu aliyonayo kutujibu....sasa hivi AI infrastructures ndo Habari ya mjini huko duniani.
 
Back
Top Bottom