Recent content by Ekuweme

  1. Ekuweme

    Elie Mpanzu asaini mkataba mpya wa miaka miwili Simba

    Huyu si walisema ana mapenzi na Yanga na kwamba msimu ujao atakipiga jangwani?
  2. Ekuweme

    Simba wana TFF Yanga wana Mungu, wote sare

    Hata kabla sijaanza kusoma huu uzi nataka nikuhakikishie ulichokiandika ni Vice versa. Tena Yanga si tu wana TFF bali na ushirikina pia
  3. Ekuweme

    Full Time: TRA United 0 🆚 0 Young Africans SC, Machi 18, 2026, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid

    Bora yule kocha mzee wa kununa muda wote. Jina limenitoka
  4. Ekuweme

    Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

    Visukari kwa wanaume wao ndio tatizo
  5. Ekuweme

    Majeshi ya Israel jioni hii yanatoa adhabu kwa Wahouth huko Yemen!!

    Naipenda sana Israel lakini ifike hatua iache kugombana na nchi nyingine! Tunajua hawanaga show mbovu wakiamua kuadhibu hawa jamaa ila naona ni kama kuna mazingira mengine wanatoa kichapo bila sababu za msingi
  6. Ekuweme

    Refa Akikosea, Shughuli Yake Imeisha: Wallace Karia

    Kwa hiyo anataka kusema magoli ya mkono kama ya ma BAKA ma BAKA hayaruhusiwi?
  7. Ekuweme

    Kwanini MO Dewji anataka kufunga kiwanda chake cha chai Nchini Tanzania? Bashe amgomea!

    Inawezekana ni kwa sababu Mo hakuchangia hata senti kwenye harambee ya CCM wakati Jiesiemu alitoa 10B
  8. Ekuweme

    SI KWELI Wanaume pia hupata mzunguko wa hedhi kama wanawake

    Wewe unaingiaga kila tarehe ngapi ya mwezi?
  9. Ekuweme

    CHADEMA walipaswa kumwandikia Msajili wa vyama vya Siasa hayo malalamiko yao na Siyo Mkuu wa Majeshi!

    Eti wamwandikie nani? Huyu huyu aliyezuia ruzuku yako mpaka akashindwa mahakamani juzi kati? Au msajili wa vyama vya siasa gani?
  10. Ekuweme

    Nini kinachofanya Rostam, Kikwete na wana mtandao wengine hadi leo wasikamatwe?

    Katiba ya Tanzania inasemaje kuhusu kinga kwa Rais mstaafu?
Back
Top Bottom