Katibu kiongozi alionyesha makaratasi yenye majina ya wamiliki wa macontainer namba za nagari yaliyobeba mizigo hiyo na madereva walio husika mbona hawawataji majina badala yake wanasema wakalipe,walitakiwa wakamatwe pale pale wastakiwe na wafilisiwe,au nchi itatikisika
Nipo Mbeya baba yangu anashida ya mtoto wa jicho (cataract) na sina uwezo wa kufika Dar es salaam CCBRT naomba msaada kwa yeyote anyejua wapi naweza kupata matibabu ya baba yangu hapa Mbeya
Nijuavyo mimi Jimboni kwa Lukuvi hakuna hata umeme,Njaa kwa mkoa wa Iringa ni jimboni kwake Lukuvi,Lakini amekomalia kubishana na msigwa,nakushauri lukuvi fikilia kwanza kutatua shida ya chakula na umeme kwako achana na Msigwa
Nina mwezi sasa toka nimesimama kunywa dawa za kisukari sukari yangu iko chini,utanidanganya nini.hebu soma madhara ya dawa za kurefusha maisha wanzo kunywa watu walioathilika na UKIMWI hasa kwenye ini.
Haya wabunge wa CCM mnaona wezenu wa CDM wanvyo ibua mambo zomeeni na hilo.Halafu kwanye maandamano ya kujivua magamba mliseme na hilo la Stimulus Package
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.