Hiyo ndiyo inayoitwa "attention to detail" ambayo wananchi wanapaswa kuwa nayo. Katika "value for money evaluation" ya CAG, je aligusia umuhimu na ulazima wa zile kampuni zilizofaidika na hizo trilioni 1.7?
Kwa matamshi haya tu anapaswa kujiuzulu ili uchunguzi ufanyike vizuri. Nona hili ni la kuitisha maandamano nchi nzima.
Kama bei ya kuweka barabara kilomit moja ni shilingi milioni 758 hela hii ingeweza kutengeneza barabara za urefu wa kilomita 2200. Hii siyo fedha ndogo.
Ni nyingi mno.