Mfwalamanyambi
JF-Expert Member
- Dec 18, 2010
- 433
- 102
[QUOTE=langei;1860194]Nadhani serikali yetu ina upe mdogo sana na sikutegemea kama viongozi wa ngazi za juu wangejitokeza kuhamasisha watanzania kukimbilia kwenye tiba ambayo hadi leo tamko la serika lilotolewa juu ya dawa ya babu in kuwa haina madhara,vile vile wataalam wetu wa afya ni sifuri kabisa na hii inatokana na siasa kutumika hata pasipo takiwa,ni aibu ila yote ya yote napmongeza babu sana.[/QUOTE]
UKiugua ukakosa tiba ndipo utakapojua kwa nini watu wanaenda kwa babu.
UKiugua ukakosa tiba ndipo utakapojua kwa nini watu wanaenda kwa babu.