Makamba: Msifadhaike!

Filipo

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
9,342
5,536
Makamba amewaambia wanachama wa ccm maneno hayo wakati akiwaaga baada ya kuondolewa kwenye nafasi ya ukatibu mkuu wa chama hicho jana. Mimi ni m1 kati ya watu waliofadhaishwa sana na kuondoka kwa mzee huyu. Amefanya mambo mengi sana yaliyosaidia kukijenga chama chetu! Ni chini ya uongozi wake chama chetu kimetata ushindi mkubwa katika uchaguzi uliopita. Kashfa za ufisadi, Upuuzi wake na mamluki (akina Tambwe) wake ndani ya chama ilisaidia kukipukutisha chama hicho na kuimarisha chetu na nilitamani aendelee kuwepo hadi 2015 ili aendelee "kukijenga" chama chetu. Nimefadhaishwa sana.
 
Kiukweli Makamba alikua anatakiwa kuondolewa kabla hata ya uchaguzi wa mwaka 2010 maana hamna alichofanya zaidi ya kua mlopokaji na msemaovyo wa chama....*lisababisha CCm kupoteza jimbo la tarime wkt wa by elections.he has bin tha key player kwenye kuangusha chama.
 
Makamba amewaambia wanachama wa ccm maneno hayo wakati akiwaaga baada ya kuondolewa kwenye nafasi ya ukatibu mkuu wa chama hicho jana. Mimi ni m1 kati ya watu waliofadhaishwa sana na kuondoka kwa mzee huyu. Amefanya mambo mengi sana yaliyosaidia kukijenga chama chetu! Ni chini ya uongozi wake chama chetu kimetata ushindi mkubwa katika uchaguzi uliopita. Kashfa za ufisadi, Upuuzi wake na mamluki (akina Tambwe) wake ndani ya chama ilisaidia kukipukutisha chama hicho na kuimarisha chetu na nilitamani aendelee kuwepo hadi 2015 ili aendelee "kukijenga" chama chetu. Nimefadhaishwa sana.
Ndio maisha hayo
 
Makamba amewaambia wanachama wa ccm maneno hayo wakati akiwaaga baada ya kuondolewa kwenye nafasi ya ukatibu mkuu wa chama hicho jana. Mimi ni m1 kati ya watu waliofadhaishwa sana na kuondoka kwa mzee huyu. Amefanya mambo mengi sana yaliyosaidia kukijenga chama chetu! Ni chini ya uongozi wake chama chetu kimetata ushindi mkubwa katika uchaguzi uliopita. Kashfa za ufisadi, Upuuzi wake na mamluki (akina Tambwe) wake ndani ya chama ilisaidia kukipukutisha chama hicho na kuimarisha chetu na nilitamani aendelee kuwepo hadi 2015 ili aendelee "kukijenga" chama chetu. Nimefadhaishwa sana.

Wewe umetumwa weww.....Kifupi Makamba hafai kuendesha taasisi yeyote isipokuwa familia yake.....!! aliprove failure kabisa, hakuna kumpaka mafuta hapa ....."he is nothing but failure":bored:
 
Kiukweli Makamba alikua anatakiwa kuondolewa kabla hata ya uchaguzi wa mwaka 2010 maana hamna alichofanya zaidi ya kua mlopokaji na msemaovyo wa chama....*lisababisha CCm kupoteza jimbo la tarime wkt wa by elections.he has bin tha key player kwenye kuangusha chama.

uropokaji wake na kusema hovyo ndio vitu nilivyokuwa na mpendea makamba kwasababu vilisababisha kuimarika kwa chama chetu na kupata majimbo mengi kwenye uchaguzi uliopita. Alitakiwa aendelee kuwepo ili tujihakikishie ushindi wa kishindo 2015.
 
Makamba amewaambia wanachama wa ccm maneno hayo wakati akiwaaga baada ya kuondolewa kwenye nafasi ya ukatibu mkuu wa chama hicho jana. Mimi ni m1 kati ya watu waliofadhaishwa sana na kuondoka kwa mzee huyu. Amefanya mambo mengi sana yaliyosaidia kukijenga chama chetu! Ni chini ya uongozi wake chama chetu kimetata ushindi mkubwa katika uchaguzi uliopita. Kashfa za ufisadi, Upuuzi wake na mamluki (akina Tambwe) wake ndani ya chama ilisaidia kukipukutisha chama hicho na kuimarisha chetu na nilitamani aendelee kuwepo hadi 2015 ili aendelee "kukijenga" chama chetu. Nimefadhaishwa sana.

Uko sahihi Filipo, Uwepo wa Makamba ndani ya CCM, ulikuwa unaiua CCM na kuvijenga vyama vya upinzani.Makamba kuendelea kuiongoza CCM ilikuwa ni kuviimarisha vyama vya upinzani na kuiteketeza CCM. Nilitegemea vyama vya upinzani visikitike kuondolewa kwa Makamba kwa msingi wa kuwa udhaifu wa golikipa ama benki wa timu pinzani unawapa fulsa wachezaji wa timu nyingine kufunga magori kirahisi.

Mimi binafsi nimesikitika Makamba kuondolewa.
 
Nadhani wameona kuwa huyu mzee ndio alikuwa anakipeleka chama kaburini.
 
Wewe umetumwa weww.....Kifupi Makamba hafai kuendesha taasisi yeyote isipokuwa familia yake.....!! aliprove failure kabisa, hakuna kumpaka mafuta hapa ....."he is nothing but failure":bored:

alifeli upande m1 na kufanikiwa upande wa pili. Ukatibu mkuu wake ulisaidia kuisambaratisha ccm na kukijenga chama chetu. Thats y nimefadhaishwa sana. Angeendelea kuwepo chama chetu kingeimarika kwa kazi zaidi, nguvu zaidi na ari zaidi!
 
Wewe umetumwa weww.....Kifupi Makamba hafai kuendesha taasisi yeyote isipokuwa familia yake.....!! aliprove failure kabisa, hakuna kumpaka mafuta hapa ....."he is nothing but failure":bored:

1) Old man was the longest serving RC in Dar history and arguably the most successful (Jiji la Makamba--anybody?), stints in Morogoro and Kigoma.

2) Fought during Kagera War. A national hero, right?

3) Ran CCM for 5 years, and won more than 2/3 of the constituencies, 92% of serikali za mitaa. He WON the election last year, despite of EPA/Kagoda/Richmond/Dowans etc. Ya'll speaking like Chadema has 80 seats in a parliament. lol.

4) Prevented mpasuko wa kisiasa Zanzibar on his tenure and making of serikali ya umoja wa kitaifa.

5) CCM is the ONLY political party to conduct primary elections for her wabunge. A true measure of democracy, and that has happened under his tenure. Contrary to how Upinzani elects her wagombea. Not one SG could have the balls to do that. And that is the only reason Chadema has seats in Iringa mjini, Maswa, and Bukombe.

6) And, Makamba was a nobody to begin with. Its not like he was born in honey and milk like Freeman Mbowe. He is a self made.

So when u call Makamba a failure, jiangalie kwenye kioo, wewe na mzee wako and figure out what have ya'all accomplished to give u moral authority to call him a failure. Apart from being an internet thug/hater.


My 2 cents!
 
Nadhani wameona kuwa huyu mzee ndio alikuwa anakipeleka chama kaburini.
Si kweli, kwa nini wajiuzulu wote kama tatizo ni Katibu Mkuu? Hapa tatizo si mtu, ni system nzima iko corrupt vibaya mno. Watu wamekuwa wavivu wa kuchambua mambo ndo maana tunadhani tatizo ni mtu mmoja. Hv kweli JK anaona mambo hayaendi, CC na NEC wanaona vilevile, hawachukui hatua halafu mtu anasema Makamba. Acheni mzee wa watu apumzike, wala CDM haikumtegemea yeye ili kukua bali ni sera na muundo wake thabiti unaouzika kwa wananchi, hata kama CCM watamweka nani.
 
Nikionacho mimi Kazi iliyo fanywa na CHADEMA katika mikoa ya Mwanza,Shinyanga,Musona N.k ndiyo matokeo ya yote hayo
 
Uko sahihi Filipo, Uwepo wa Makamba ndani ya CCM, ulikuwa unaiua CCM na kuvijenga vyama vya upinzani.Makamba kuendelea kuiongoza CCM ilikuwa ni kuviimarisha vyama vya upinzani na kuiteketeza CCM. Nilitegemea vyama vya upinzani visikitike kuondolewa kwa Makamba kwa msingi wa kuwa udhaifu wa golikipa ama benki wa timu pinzani unawapa fulsa wachezaji wa timu nyingine kufunga magori kirahisi.

Mimi binafsi nimesikitika Makamba kuondolewa.

nashukuru Malunde umeelewa vizuri kile ninachomaanisha. Hiki sio kitu cha kufurahia sisi tuliopo upande wa pili. Ni kama kufurahia substute nzuri ya mpinzani wako! Sasa tunatakiwa kujipanga vizuri na kujiimarisha ili tusiyumbe. Wenzetu wamejipanga upya kwahiyo tusidharau wala tusishangilie nao maana inaweza kuwa mbaya kwetu
 
Si kweli, kwa nini wajiuzulu wote kama tatizo ni Katibu Mkuu? Hapa tatizo si mtu, ni system nzima iko corrupt vibaya mno. Watu wamekuwa wavivu wa kuchambua mambo ndo maana tunadhani tatizo ni mtu mmoja. Hv kweli JK anaona mambo hayaendi, CC na NEC wanaona vilevile, hawachukui hatua halafu mtu anasema Makamba. Acheni mzee wa watu apumzike, wala CDM haikumtegemea yeye ili kukua bali ni sera na muundo wake thabiti unaouzika kwa wananchi, hata kama CCM watamweka nani.
Ni kweli mkuu cdm haikumtegemea makamba kukua ila ni system ya ccm yenyewe HALAFU NADHANI MMESAHAU KUWA HATA MWENYEKITI NI TATIZO KUBWA SANA HAYUPO MAKINI KABISA!
 
Uzuri amepigana mpaka mwanae amekwaa madaraka naye hivyo uhakika wa kulindwa ni mkubwa

january must be so proud of his father
 
Chadema itaendelea kuwa chadema na ccm kama ccm,cdm inakubalika kwa sera zake na wananchi tunaamini hivyo na wala si kwa sera za makamba wala ccm.tumeamka hatudanganyiki.
 
Wewe umetumwa weww.....Kifupi Makamba hafai kuendesha taasisi yeyote isipokuwa familia yake.....!! aliprove failure kabisa, hakuna kumpaka mafuta hapa ....."he is nothing but failure":bored:

The Man, Filipo alimaanisha kuwa amefadhaishwa Makamba kuindoka kwani alikuwa anasaidia kuisambaratisha CCM na kwa kufanya hivyo anajenga upinzani bila kujua. Ndiyo maana watu wanasema angeendelea kukaa mpaka 2015 ili awe mtaji mzuri wa wapinzani!!!
 
Si kweli, kwa nini wajiuzulu wote kama tatizo ni Katibu Mkuu? Hapa tatizo si mtu, ni system nzima iko corrupt vibaya mno. Watu wamekuwa wavivu wa kuchambua mambo ndo maana tunadhani tatizo ni mtu mmoja. Hv kweli JK anaona mambo hayaendi, CC na NEC wanaona vilevile, hawachukui hatua halafu mtu anasema Makamba. Acheni mzee wa watu apumzike, wala CDM haikumtegemea yeye ili kukua bali ni sera na muundo wake thabiti unaouzika kwa wananchi, hata kama CCM watamweka nani.
Makamba jana Usiku alisema kuwa asingekubali kujiuzulu peke yake so alisema wote wajiuzulu live tbc aliwachekesha wote ukumbini akiwemo EL (Sikuwahi muona akicheka) na JK Kama kawaida yake wa kwanza kucheka
 
nashukuru Malunde umeelewa vizuri kile ninachomaanisha. Hiki sio kitu cha kufurahia sisi tuliopo upande wa pili. Ni kama kufurahia substute nzuri ya mpinzani wako! Sasa tunatakiwa kujipanga vizuri na kujiimarisha ili tusiyumbe. Wenzetu wamejipanga upya kwahiyo tusidharau wala tusishangilie nao maana inaweza kuwa mbaya kwetu

sub waliofanya isikutishe kwa sababu hakuna jipya walilofanya.. Mapigano yaendelee vilevile.. Bado kuna makamba mdogo humo kwenye cc mpya, na huyo mukama naye ni walewale..
 
Back
Top Bottom