Sasa Brics kuna nchi gani inayoweza kutos donation ya maana hapo ndugu, China ndio mkubwa kiuchumi lakn nao hawatoi misaada kama western countries.
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Na hapo ndio wafanyabiashara wanapotumia kupiga watu unakuta mtu ana duka kariakoo, makumbusho na mlimani city ila simu zote anachukua sehem moja anajua ukikimbia kariakoo anaenda kukukamatia mlimani city tena kwa bei kubwa.
Kama una ujuz wa simu ata manzese tu unanunua simu na unaangalia kama...
simu ya miaka 4 nyuma unategemea uuziwe kwa laki 9 hzo bei zake ni kuanzia 380 - 500 ikizid hapo ujue unapigwa wengi wanauziwa simu used za china na USA kwa kigezo cha kuambiwa kuwa ni used from KOREA kisa single line[emoji23][emoji23][emoji23]
kaka hzo simu kama ni mfanyabiashara wewe nunua zile za bei rahisi ambazo bongo utauza kuanzia 160-200 watanzania wengi hawaangalii processor wanaangalia price.
Bei ya oppo A57 Tanzania inajulikana ni kuanzia 160 - 200 sasa ukizidisha hapo utapiga nazo picha mwenyewe.
Usiseme jamaa wako ingiza mtaji wako ndio utajua bodaboda ikoje hyo biashara ni pasua kichwa wanaoiweza ni matajiri unakuta ananunua bodaboda 300 alaf anazigawa kwa vijana na hela anazo za kutosha ukileta zengwe anachukua chombo chake na wewe ukiendelea kuleta mdomo unajikuta upo polisi...
Arusha kuna kata walimu wamejipachika wote majina yao yaan watumishi wana njaa hatar mpaka hzo laki 7 mngewaachia vijana (Jobless) nao wajipooze kidogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kaa kimya kuna watu hyo laki 5 wakipata wanafanya za maana sana na sio wote watazitumia vibaya, kuna wengne wanaweza wakatumia kuinvest kwenye kilimo, kuna wengne walianzisha ujasiriamali so wangepata hyo wangefanya kuBoost biashara zao, na kuna wengne hyo hyo wangeweza kufungua biashara na...
Yaan ilitakiwa waajiriwa wasiapply hizo kazi wawaachie vijana ambao hawana ajira maana kwenye hao vijana 1000 basi 100 wanaweza wakazitumia pesa vizur na kupata mtaji wa kujiendeleza kwenye shughuli za kujikwamua kiuchumi.
Ila kitendo cha waajiriwa nao kuapply na mbaya zaid wao ndio...
vitu vingne ni kuchoshana ukishatajiwa website wewe unatakiwa uingie kwenye website husika na kuanza kufuatilia taratibu zao sasa unataka mtu akutajie mpaka mode of payments duuuh au ndio uvivu wa kusearch tu hyo jina?.
Kilimo hakina mjanja kuna kampuni ina wataalam wa kilimo mpaka wa nje ya nchi South Africa, india ukiachana na vijana kibao wa SUA lakn mwaka huu wamefeli vibaya mno.
Sijawahi kuapply tangu nilivyofanya BVR 2015 Kipind nimemaliza chuo now nipo na biashara zang siwez kuacha kaz zang nikang'ang'anie laki 7 mwez mzma.
Ila nmetoa ukweli maana nmeona vijana wanalalamika sana mtaan na ukweli wamechukua walimu ambao mpaka wengne ni majiran zang alaf wanadai kuwa...
Alaf mbaya zaid kwenye makaratasi yaliyotoka wameandika "HANA AJIRA" wakati tunawajua ni walimu wa muda mrefu na tunashinda nao vijiweni kila siku kuzungumzia simba na yanga[emoji23][emoji23].
Walimu mjitafakari upya maana mnatia aibu.
Wengi wanakubeza ila ukweli ndio huo kuna baadhi ya kata mkoa wa mbeya, Arusha wamefanya mambo ya ajabu sana.
Arusha kuna mpaka wale waliokuwa kwenye pannel ya interview nao wamejochomeka yaan wamewaweka Walimu wote kwenye matokeo na vijana wote wametemwa.
Mbeya kuna kata kama 6 hv kwa taarifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.