Jinsi ya kutambumbua Samsung note 9 original

Jinsi ya kutambumbua Samsung note 9 original

laki 9 nyingi sana kwa sasa hizo hadi 600k unapata.
Safi sana,mambo yanazidi kuwa mazuri,binafsi nimetumia s10 + na uhawei p30 pro nazikubali na kuziheshimu sana hizo simu,kuna jamaa yangu aliwahi kutumia nae hizo simu then aka upgrade kwa s20 ultra akadai zina tofauti ndogo sana kwenye perfomance
 
Mtoa mada kasema Note ila kuna Mazuzu yanachanganya madesa yanasema S9 niwaambie kitu Wajuaji wa jf S9 na Note 9 ni Simu mbili tooofauti kabisa! Kwahiyo Note 9 kwa bei hiyo ni changa la macho coz hata Note 8 ya GB 32 hupati kwa 380k sembuse Note 9?? Mtoa Mada hiyo Simu kwenye picha ni Og ila sasa utakayoenda kupewa huko Ndo utapigwa kwahiyo Kuwa makini!


CHEAP IS EXPENSIVE
Ndio hapo nataka kujua niangalie vitu gani muhimu maana hata zile code wanazotumia Samsung wanasema zinarun hata kwenye clone
 
Nataka ninunue Samsung note 9 Ila sijui namna ya kutambua original Na fake specs 8gb ram 512gb rom Na bei 380,000 inapouzwa ( marketplace) Facebook naombeni nisije ingia choo cha kik

me

Me yangu ni S 9+, sema inanizingua kitu kimoja upande wa camera yaani ukitaka kupiga picha usiku haimuliki taa moja kwa moja, ila inatoa mwanga na kutoa baada ya picha, yaani unakuwa kama unabashiri, haya ndo matatizo ya samsung
Mkuu si unawasha tochi kama unataka kupiga picha
 
Mkuu si unawasha tochi kama unataka kupiga picha
Duuuh, sijakuelewa, yaani unamaana kuwa niwashe tochi kama tochi pembeni ndipo nipige picha kwa simu hii,
Usumbufu huo wa nini, nataka nirudi kwenye Tecno zetu tulizo zoea maana sujaona utofauti wowote kwenye Samsung na Tecno
 
Duuuh, sijakuelewa, yaani unamaana kuwa niwashe tochi kama tochi pembeni ndipo nipige picha kwa simu hii,
Usumbufu huo wa nini, nataka nirudi kwenye Tecno zetu tulizo zoea maana sujaona utofauti wowote kwenye Samsung na Tecno
Duuh
 
Mtoa mada kasema Note ila kuna Mazuzu yanachanganya madesa yanasema S9 niwaambie kitu Wajuaji wa jf S9 na Note 9 ni Simu mbili tooofauti kabisa! Kwahiyo Note 9 kwa bei hiyo ni changa la macho coz hata Note 8 ya GB 32 hupati kwa 380k sembuse Note 9?? Mtoa Mada hiyo Simu kwenye picha ni Og ila sasa utakayoenda kupewa huko Ndo utapigwa kwahiyo Kuwa makini!


CHEAP IS EXPENSIVE
Note 8 ya 32GB uliitengeneza wewe maana samsung kwa series kuanzia note 8 na s8 walianzia 64GB
 
Hamna kitu hapo kwanza bei ya kioo tu cha note 9 ni laki tano na nusu hivi.wewe Leo uuziwe simu kwa 380
simu ya miaka 4 nyuma unategemea uuziwe kwa laki 9 hzo bei zake ni kuanzia 380 - 500 ikizid hapo ujue unapigwa wengi wanauziwa simu used za china na USA kwa kigezo cha kuambiwa kuwa ni used from KOREA kisa single line
 
Mtoa mada kasema Note ila kuna Mazuzu yanachanganya madesa yanasema S9 niwaambie kitu Wajuaji wa jf S9 na Note 9 ni Simu mbili tooofauti kabisa! Kwahiyo Note 9 kwa bei hiyo ni changa la macho coz hata Note 8 ya GB 32 hupati kwa 380k sembuse Note 9?? Mtoa Mada hiyo Simu kwenye picha ni Og ila sasa utakayoenda kupewa huko Ndo utapigwa kwahiyo Kuwa makini!


CHEAP IS EXPENSIVE
Mkuu hamnaga note 8 ya 32 ni kwanzia 64 hadi 256
 
Vitu vya kuchek
-imei
-network speed
-camera performance
-refurbished or genuine
-phone status

Over.
 
Dunia inaenda kasi.simu zipo nyingi sana
Hii S9 jamani mbona bei yake imeporomoka ivo ka uchumi wa Tanzania au kuna hitirafu ilivyotengrnezwa au kuna matolea mazuri kushinda s9??? Maana i atangazwa na wengi kwa bei chee sana.
 
Simu nyingi ni refurbished hasa hizi S series na Note Series ila tatizo wauzaji hawasemi ukweli

Huwezi kupata brand new Note 9 kwa hela hiyo kwanza wameshaacha kuzi produce
 
Note 10+ 380?
Ngoma hii hapa
Screenshot_20220906-144416_CPU-Z.jpg
 
Back
Top Bottom