Kwa wale wakazi wa jiji tulivu la mwanza, kwa nguvu za mwenyezi mungu leo tumepata kinvua cha asubuhi ambayo kwangu kimekuwa shubiri kwa yaliyonikuta sababu ya baridi ambayo mpaka naandika uzi imetamalaki ukanda mzima wa maeneo haya, Jana nikiwa katika miangaiko yangu ili niweze kuendana na...
Nikiwa mdogo nilizuiwa kuwa nikiwa mkubwa hata siku moja nisijiusishe na mambo ya kwenda kwa waganga wa jadi nasijawahi kuthubutu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikimkuta demu na bikra uwa naona kama mkosi maana sipendi usumbusu nikiwa ulingoni huwa napenda kufunga magoli na kusepa sio nianze kuzibua zibua upuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.