Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,655
Kwa wanaume ni kama jambo fulani la fahari kumtoa msichana usichana wake na kujihisi kwamba huenda anapendwa au atapendwa sana na huyo binti!
au pia wakati mwingine huhisi tiyari ameshauteka moyo wa binti kisa tu kuwa wa kwanza kuujua mwili wake na hii ni persception yetu sisi wanaume!
Je Ninyi wanawake Mnamchukuliaje mtu aliekutoa usichana? Je ni kweli ndo amejenga mapenzi ya kudumu ndani yako au ndio mwanzo wa Kumchukia?
TheMason
au pia wakati mwingine huhisi tiyari ameshauteka moyo wa binti kisa tu kuwa wa kwanza kuujua mwili wake na hii ni persception yetu sisi wanaume!
Je Ninyi wanawake Mnamchukuliaje mtu aliekutoa usichana? Je ni kweli ndo amejenga mapenzi ya kudumu ndani yako au ndio mwanzo wa Kumchukia?
TheMason