Msichana wangu kanisaliti, nifanyaje?

Msichana wangu kanisaliti, nifanyaje?

Huyo jamaa kwenye avatar yako alituita malofa na wapumbavu halafu akasema sio matusi.

Basi tu-assume na mimi nimekuita hivyo ila sio matusi.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] hakika hii comment itamuumiza sana moyo jamaa.
 
wala usilalamike kwa kuwa mpenzi wako alitaka kukumbushia kwa x wake nawe ukatoa nauli ili aende sasa amerudi maisha yaendelee na akitaka tena nauli usikose kumpa.
 
Nasikia Kuna Watu Ni Viazi,Basi Wewe Ni Kiazi Ulaya Kabisa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kakuaga Akaenda Kumchana Live Akachanuliwa Yeye. Na Ukamruhusu. Sasa Wataka Nini??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
angeamua kutokwambia asingepata madhara yoyote .huyo ni muaminifu anakufaa sana mm nashauri endelea naye ila mpe kamnuno kidogo hata wiki kisha muendelee .pili mpe laini mpya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaaaa....

Let me laugh again and again

You are real stupid man.
Yes you are so stupid at all.
 
[emoji90]

[emoji252]You get what you work for not What you wish for [emoji252]
 
Mimi Nina demu ambaye alitoka kwenye mahusiano ya zaman na kuanzisha mahusiano na Mimi mapya ila dem wangu huyu siku moja aliniambia kuwa anaomba nauli ili aenfe akamchane live ex wako kuwa aachane nae ili asiendelee kumsumbua basi nikampa nauli akaenda kwa ex wake huyo ila cha ajabu huyu demu akaja kuniomba msamaha kuwa baada ya kufika kwa ex wake huyo shetan alimpitia akasex nae bila kutegemea kwa kuwa huyo ex wake alimlazimisha kufanya nae mapenz na mpka sasa huyo ex wake ameshaachana nae rasmi baada ya kumwambia kuwa ana mpenz mpya ambaye ni Mimi.


JE HUYU DEMU ANANIFAA AU HANIFAI?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyani mzee hasau pori lake alilolizoea, wewe endelea kutoa nauli tu utakipata unachokitafuta
 
Back
Top Bottom