Recent content by egari

  1. E

    Tundu Lissu anawatumia Wananchi kama daraja tu!

    Hujuwi ulisemalio.., chama siyo nyumba kiasi kwamba unaweza kuiona inapojengwa kuanzia msingi mpaka kufikia paa.,
  2. E

    Yusuf Manji; Mmoja wa Watu Walioficha Fedha Uswisi

    Inatakiwa ujue tofauti Kati ya kuhifadhi na kuficha.., wanaoficha ni wale wanaoiba serikalin ila mfanyabiashara anahifadhi
  3. E

    Nauza eneo la kuchimba madini ya dhahabu

    Tafuta raia wa kigeni kama wachina uingie nao ubia.
  4. E

    Mahusiano ya dawa za kulevya na serikali kuruhusu rizla+

    Kwa ajili ya kunyongea tumbaku
  5. E

    Nini kazi na matumizi ya karatasi aina ya Rizila

    Kwa wanaofaham karatasi aina ya Rizila kumradhi kama ntakuwa nimekosea herufi ya jina la karatasi hizo., ninaomba mnijuze matumizi yake maana nimekuwa nikijiuliza kwa mda mrefu. Zamani kulikuwa na kitu kinaitwa Tambuu/Kubeli ambayo ilipigwa marufuku kuwa ni moja ya madawa ya kulevya..., sas hizi...
  6. E

    Wanawake mkipendwa pendekeni

    Kikwetu mnaachana na mahari unaenda kuchukua unaacha kidogo tu kwa kuwa mmezaa naye.
  7. E

    Wanawake mkipendwa pendekeni

    Piga chini usonge mbele maana tayari anakazi mtoto hawezi kufa njaa., wanawake wa ndoa walikuwepo zamani ila siku hizi kuna baadhi na walio wengi wanawake jina
  8. E

    DAR: RC Makonda awataja Askari 9 watuhumiwa kushirikiana na mtandao wa Dawa za Kulevya. Wamo wasanii

    "Kama Kamishna Sirro na timu yake watashindwa kutokomeza dawa za kulevya DSM maana yake wamekosa sifa za kuendelea kuwa askari - RC Makonda" Haka kakipengele nimekatafakari sana.,maana daaaaah kweli cheo cha siasa kina mamlaka makubwa.
  9. E

    Kwa wale wenye kuhitaji Viwanja na Mashamba Kigamboni/New city wilaya mpya

    Kama wew una hela nyingi fresh tu njoo twende vilivyopimwa Sq moja 20, 000
  10. E

    Kwa wale wenye kuhitaji Viwanja na Mashamba Kigamboni/New city wilaya mpya

    Viwanja havijapimwa ni kms kuanzia 20 na kuendelea kutoka feri au darajani, maeneo ya mwembe mdogo., barabara ya Tasaf kuelekea Dar es salaam zoo, ukoooni na kisarawe two. Ni maeneo mazuri kwa makazi maana huduma za usafiri kama daladala zinafika
  11. E

    Kwa wale wenye kuhitaji Viwanja na Mashamba Kigamboni/New city wilaya mpya

    Kwa wale wenye uhitaji wa Viwanja na Mashamba maeneo ya Kigambon mnakaribishwa maana kwa kiasi flani bei imeshuka kutokana na hali ya mambo ya fedha yalivyo kwa sas., karibuni sana tujenge pamoja
  12. E

    Dereva anahitajika haraka

    Cv ya nin., kuwa kama clouds hakuna cha Cv angalia uwezo
  13. E

    Month love., what's the different between love and infatuation

    Hi guys.., I want to know exactly about the different between love and infatuation since its confusing me.
  14. E

    Serikali huwa inakuwa wapi

    Unakuta raia wakulima na wafugaji wamevamia hifadhi mfano Ruaha Mbeya, Katavi Rukwa, Pori la Tabora, Serengeti Simiyu.., unakuta wanavamia na kuanza shughuli za kibinadam kwa mda hata wa miaka kadhaa na vingine hujengeka na kuwa vijijini. Cha kushangaa ni pale serikali inapoanza kuwafukuza kwa...
  15. E

    Natoa million 200 kwa atakayeniambia huyu ni mnyama gani

    Hizo pesa labda za wiiiiiz... kid
Back
Top Bottom