Wanawake mkipendwa pendekeni

Wanawake mkipendwa pendekeni

Nategemea kwenye episode inayofuata, utuambie kina siku ulimfumania kitandani kwako na yule jamaa mwenye dushe kubwa, ambalo linakufanya hadi kabamia kako kaogelee!
Mkuu....
Hauogopi kuua...
Sio kwa maneno haya aiseeeee
 
Kikwetu mnaachana na mahari unaenda kuchukua unaacha kidogo tu kwa kuwa mmezaa naye.
 
tujifunze nini sasa hapo???

wenzio walishajifunzaga zamani..

ulibaki wewe na maboya wenzio wachache teh...

hatusomeshwi sisi na wapenzi...

UKOME.......
We usimstue bwana, acha tusomeshwe tu.
Mwanaume akisomesha mwanamke ahesabu tu ni msaada ametoa, haya ya kufikiria vinginevyo ndio yanawatesa tu.
 
Mwanaume ukiona mwanamke anakufanyia hivyo basi wewe mwenyewe boya.
 
Wote nyie ni majipu tu.
Kipindi upo mtoto Unakumbuka wale wazazi wanoko ukiwapelekea kesi eti oooh mama nimepigwa na shabani

Mama: si angekutoa nyongo baradhuli mbwa kuku wewe.

Ndicho anachostahili huyu mwanaume.
 
Kipindi upo mtoto Unakumbuka wale wazazi wanoko ukiwapelekea kesi eti oooh mama nimepigwa na shabani

Mama: si angekutoa nyongo baradhuli mbwa kuku wewe.

Ndicho anachostahili huyu mwanaume.

Kweli kabisa, japo hapo kwenye tusi mamangu alikuwa hatukani, anakukata tu jicho unajikataa mwenyewe.
 
kwani jamaa alikosea nini? she was innocent young normal woman !
Mara nyingi Ila siyo siku zote in marriage wqnawake huwaheshimu wanaume wanaojielewa na wenye misimamo dhabiti.
 
Sometimes your heart needs more time to accept what your mind already knows.
 
Hahaha...eti anakukata jicho
Alikuwa na jicho lake moja hilo(maana hakuwa wa maneno mengi), akikukata hilo haki unajisepesha mwenyewe na maujinga yako.
 
usije ukarudia tena kumsomesha mwanamke eti kwa lengo la kuja msaidiane katika maisha. nakuambia tena usithubutu, na hasa sisi wa kuleeee.
 
Back
Top Bottom