Ni bora tahadhari kabla ya hatari wahusika wa hilo jengo wanadanganya uma hiyo mwanafunzi sio mzushi uzushi ni kusema neno ambalo halipo sasa huo ufa Mkubwa kabisa unaonekana wakuchukuliwa hatua ni mkandarasi
Hao wasanii wanafiki wengine hata mahakamani walikuwa hawaendi Muda huu wanajifanya wameumia acheni unafiki rafiki Wa kweli ni yule anaekujali wakati Wa shida
Ni kweli kabisa kuna kaka ni mfanya biashara yuko Geita ni tajiri lakini kwao nyumba ni mbovu baba yake mzazi amefariki waliomsindikiza hawakuamini hata choo hakuna wanajisaidia shambani kwao ni kigoma kijiji cha kwaga
Duu hawa waliofanya kazi miaka 30 mpk 35 wamebakiza miaka 5 wastaafu wangewaacha wakawapa mafao yao mfano nesi kahudumia wagonjwa miaka 35 yamkini kapata maambukizi ya hiv anafukuzwa bila mafao kweli?
Hao watumishi wamuogope mungu kuchangia hata laki 2 au zaidi mtu anatoa kama kuchangia ujenzi wa kanisa / nyumba ya mchungaji nk lakini kiingilio cha kuombewa hapana huo ni ujambazi kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.