Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,287
hahahahahaTafadhali CCM yeyote au mwenye harufu ya CCM asitie mguu hapo msibani
hahahahahaTafadhali CCM yeyote au mwenye harufu ya CCM asitie mguu hapo msibani
Kalale mbele wewe unatupotezea mdaIle semina ya kusoma riwaya za majini na uchawi aliyokuwa anawafundisha waumini wake kwa kusoma vitabu hivyo kanisani kashamaliza?
Atamponda bashiteWasisahau kumpa Gwajima muda hata wa dakika kumi azungumze.
Kwa heshima ya mchungaji gwajima apewa hata dakika 2 za kuwasalimu wakazi wa moshi
Safi sanaMuda si punde askofu huyu kiboko ya Bashite ametua uwanja wa KIA tayari kuelekea Moshi kuhudhuria msiba wa babu yetu kipenzi Ndesa pesa.
Mungu awajaalie wote walioko njiani kuhudhuria kumuaga mpendwa wetu.
Daima tutamkumbuka kwa mengi na hasa moyo wake mkunjufu wa kusaidia
Lizaboni & co ltd kama nawaona vile wanachungulia kwa mbaliiiiTafadhali CCM yeyote au mwenye harufu ya CCM asitie mguu hapo msibani
L na KAfike salama,wamkaze kwa amani mzee wetu kwenye nyumba yake ya milele
Kumbe hajafungakesha tua na chopa lake kitambo mbona na anapiga chai
kwani ni mwislam?Kumbe hajafunga
Hata najua bhas,kwani ni mwislam?
hahaaaaaaWasisahau kumpa Gwajima muda hata wa dakika kumi azungumze.
unaharibu wakati wangu aseeHata najua bhas,
mkuu tengua kauli yako kwanzaAfike salama,wamkaze kwa amani mzee wetu kwenye nyumba yake ya milele