Recent content by Edison Ernest Paul

  1. Edison Ernest Paul

    JamiiForums Tanzania Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Sio kweli kwa kuanza madishi ya laki mbili yote ya nini acheni kutupoteza bhn
  2. Edison Ernest Paul

    JamiiForums Tanzania Naombeni Ushauri

    Ahsante bro
  3. Edison Ernest Paul

    JamiiForums Tanzania Niliomba kazi air hostess nikanyimwa

    Hapa Mimi naona tatizo NYOTA Kama vipi jaribu kuisafisha kulingana NA imani yako imesimamia upande upi! Namaanisha kwa MAOMBI kumuomba M/Mungu au kwa mganga
  4. Edison Ernest Paul

    JamiiForums Tanzania Niliomba kazi air hostess nikanyimwa

    Duu
  5. Edison Ernest Paul

    JamiiForums Tanzania Wanawake wa hivi kumbe bado wapo

    Wewe joanah wewe unataka kusema nawewe upo hivyo?
  6. Edison Ernest Paul

    JamiiForums Tanzania Naombeni Ushauri

    Habari za leo! Naitwa Edison Ernest nipo dares salaam, Mimi ninahitaji kujiajiri kwa kufanya biashara, mpaka sasa ninamtaji Wa sh,400,000 laki 4 lakini sijuwi nifanye biashara gani naombeni ushauri wakuu. Ahsanteni!
  7. Edison Ernest Paul

    JamiiForums Tanzania Je, ugumu wa maisha hudumaza akili au ni kipimo cha akili?

    Dah! Uzi huu nimeupata vilivyo ahsante mkuu
  8. Edison Ernest Paul

    JamiiForums Tanzania Looking For Lending Investor in My Limited Company in Tanzania around Morogoro

    Short story unahitaji wawekezaji sio?
Back
Top Bottom